‘Mahabusu’ Nyingine Kutoka Jerusalem Films,Wakali Kutoka Norway Ndani
Staa mkonhwe wa bongo movies, Jacob Stephen ambaye ni mkurugenzi wa kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.
JB aliyasema hayo kupitia ukursa wake mtandaoni ambapo aliweka picha hiyo hapo juu ya kasha la filamu hiyo na kuandika.
Kutoka Jerusalem films hii ndio inakuja.inaitwa MAHABUSU. Washiriki....unaikumbuka Regina unamkumbuka yule dada aliyecheza kama...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Jerusalem Films Kuja na Chale Mvuvi Baada ya Mzee wa Swaga, Hadji Adam, Shamsa Ford na Wakali Wengine wa Zanzibari Ndani!!
Mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ambae pia ni muigizaji na muongozaji wa filamu, amewaeleza mashabiki wake kuwa wakae mkao wa kula kwani baada ya wiki iliyopita kuingiza movie ya Mzee wa Swaga sokoni, sasa hivi wapo katika maandalizi ya kutoa movie nyingine mwezi ujao.
"Asanteni sana wadau wa Jerusalem films kwa kuipokea vyema Mzee wa Swaga. sasa tunajiandaa kuwaletea movie nyingine inaitwa CHARLE MVUVI : Waigizaji:Hadji Adam,Shamsa...
9 years ago
Bongo Movies05 Nov
Habari Njema Kutoka Jerusalem Films kwa Wapenzi Na Waigizaji Wachanga wa Filamu
Wapenzi na wadau wa Jerusalem Films tunapenda kuwajulisha kuwa uchukuaji picha wa tamthilia yetu utaanza mwishoni wa mwezi wa 11.
Hii nikutokana na kuingiliwa kwa ratiba kutokana na uchaguzi, waigizaji wengi tutakao wapa nafasi ni wapya, tutatoa utaratibu wa usaili.
Tayari tumepata mkataba mzuri na moja ya Television ya kulipia, vile vile tunajipanga kuwatangazia siku za kuzitoa Chungu Cha Tatu, Chale Mvuvi na Kalambati Lobo.
endelea kufurahia kazi za jerusalem films
Jacob Stephen ‘JB’...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Norway: Tanzania isiige mpango wa gesi kutoka nchi nyingine duniani
5 years ago
Michuzi10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Kwa Mwaka Huu, Hizi Ndio Movies Kutoka Jerusalem
Kutoka Jerusalem.Filamu inayokuja inaitwa MAHABUSU, washiriki ni marehem Adam Kuambiana, Regina na Ben Kinyaia.
Pia tunatarajia kuachia movie nyingine inaitwa Kalambati Lobo wahusika JB na Diana Kimaro.itafuatiwa na Chale Mvuvi wahusika ni Shamsa Ford,Haji Adam,Mzee Halinikuni Naakombora.
Baada ya hapo natafuta script ya kufungia mwaka.itategemea mwigizaji mnaemtaka kumuona.kazi kwenu.
Kutoka kwenye ukurasa wa JB mtandaoni
9 years ago
Bongo Movies23 Dec
Wapenzi na Mashabiki wa Jerusalem Films na Bongo Movies kwa Ujumla, Pitieni hapa
Kutoka kwa mkurugenzi wa Jerusalem films, Jacob Stephen ‘JB’
Shamsa Ford Akiwa na Baba Haji
RATIBA kutoka Jerusalem films, movie yetu itakayo fata baada ya Chungu cha Tattu ni Chale Mvuvi, washiriki ni Shamsa Ford na Haji Adam ‘Baba Haji’, Mzee Halikuniki, Makombora , Mzee Chepuo na wengine. Movie hii ili tengenezewa zanzibar mwaka 2013, movie hii itafuatiwa na Kalambati Lobo, washiriki Diana kimaro na Jacob Stephen. Movie hii ilitengenezwa mwaka 2014. Sasa hivi tuko kwenye maandalizi ya...
10 years ago
MichuziMHE. NYALANDU AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA KUTOKA NCHINI NORWAY
10 years ago
Vijimambo12 Oct
KIBIRA FILMS ITERNATIONAL KUIBUKA NA MOVI NYINGINE
You are...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Ni mdundo baada ya mdundo… hii ni nyingine kutoka kwa Chris Brown, ‘Wrist’ feat. Solo Lucci – (Video)!
Staa wa muziki kutoka Marekani, Chris Brown anazidi kuzisogeza videos kutoka kwenye album yake ya saba, Royalty. Baada ya kusiogeza kwetu video ya Back to Sleep jana 15 December 2015, leo staa huyo anaileta kwetu mdundo mwengine kwenye video, ngoma inaitwa Wrist na hii pia inapatikana kwenye album mpya ya Chris Brown, Royalty itakayokuwa sokoni […]
The post Ni mdundo baada ya mdundo… hii ni nyingine kutoka kwa Chris Brown, ‘Wrist’ feat. Solo Lucci – (Video)! appeared first on...