Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mahabusu’ Nyingine Kutoka Jerusalem Films,Wakali Kutoka Norway Ndani

Staa mkonhwe wa bongo movies, Jacob Stephen ambaye  ni mkurugenzi wa kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.

JB aliyasema hayo kupitia ukursa wake mtandaoni  ambapo aliweka picha hiyo hapo juu ya kasha la filamu hiyo na kuandika.

Kutoka Jerusalem films hii ndio inakuja.inaitwa MAHABUSU. Washiriki....unaikumbuka Regina unamkumbuka yule dada aliyecheza kama...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jerusalem Films Kuja na Chale Mvuvi Baada ya Mzee wa Swaga, Hadji Adam, Shamsa Ford na Wakali Wengine wa Zanzibari Ndani!!

Mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ambae pia ni muigizaji na muongozaji wa filamu, amewaeleza mashabiki wake kuwa wakae mkao wa kula kwani baada ya wiki iliyopita kuingiza movie ya Mzee wa Swaga sokoni, sasa hivi wapo katika maandalizi ya kutoa movie nyingine  mwezi ujao.

"Asanteni sana wadau wa Jerusalem films kwa kuipokea vyema Mzee wa Swaga. sasa tunajiandaa kuwaletea movie nyingine inaitwa CHARLE MVUVI : Waigizaji:Hadji Adam,Shamsa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Habari Njema Kutoka Jerusalem Films kwa Wapenzi Na Waigizaji Wachanga wa Filamu

Wapenzi na wadau wa Jerusalem Films tunapenda kuwajulisha kuwa uchukuaji picha wa tamthilia yetu utaanza mwishoni wa mwezi wa 11.

Hii nikutokana na kuingiliwa kwa ratiba kutokana na uchaguzi, waigizaji wengi tutakao wapa nafasi ni wapya, tutatoa utaratibu wa usaili.

Tayari tumepata mkataba mzuri na moja ya Television ya kulipia, vile vile tunajipanga kuwatangazia siku za kuzitoa Chungu Cha Tatu, Chale Mvuvi na Kalambati Lobo.

endelea kufurahia kazi za jerusalem films

Jacob Stephen ‘JB’...

 

9 years ago

Mwananchi

Norway: Tanzania isiige mpango wa gesi kutoka nchi nyingine duniani

Ushirikiano baina ya Tanzania na Norway umedumu kwa zaidi ya miaka 50 na kwa muda mrefu, ulikuwa umeegemea kwa Tanzania kupewa mikopo na taifa hilo la ukanda wa Scandinavia.

 

10 years ago

Bongo Movies

Kwa Mwaka Huu, Hizi Ndio Movies Kutoka Jerusalem

Kutoka Jerusalem.Filamu inayokuja inaitwa MAHABUSU, washiriki ni  marehem Adam Kuambiana, Regina na Ben Kinyaia.

Pia tunatarajia kuachia movie nyingine inaitwa Kalambati Lobo wahusika JB na Diana Kimaro.itafuatiwa na Chale Mvuvi wahusika ni Shamsa Ford,Haji Adam,Mzee Halinikuni Naakombora.

Baada ya hapo natafuta script ya kufungia mwaka.itategemea mwigizaji mnaemtaka kumuona.kazi kwenu.

Kutoka kwenye ukurasa wa JB  mtandaoni

 

9 years ago

Bongo Movies

Wapenzi na Mashabiki wa Jerusalem Films na Bongo Movies kwa Ujumla, Pitieni hapa

Kutoka kwa mkurugenzi wa Jerusalem films, Jacob Stephen ‘JB’

Shamsa Ford Akiwa na Baba Haji

Shamsa Ford Akiwa na Baba Haji

RATIBA kutoka Jerusalem films, movie yetu itakayo fata baada ya Chungu cha Tattu ni Chale Mvuvi, washiriki ni Shamsa Ford na Haji Adam ‘Baba Haji’, Mzee Halikuniki, Makombora , Mzee Chepuo na wengine. Movie hii ili tengenezewa zanzibar mwaka 2013, movie hii itafuatiwa na Kalambati Lobo, washiriki Diana kimaro na Jacob Stephen. Movie hii ilitengenezwa mwaka 2014. Sasa hivi tuko kwenye maandalizi ya...

 

10 years ago

Michuzi

MHE. NYALANDU AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA KUTOKA NCHINI NORWAY

Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ( katika kati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola Elvestuen (kushoto) wakiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania, Bi. Hanne-Marie Kaarstad, (kulia) Kabla ya Mkutano wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola Elvestuen ...

 

10 years ago

Vijimambo

KIBIRA FILMS ITERNATIONAL KUIBUKA NA MOVI NYINGINE

  Kibirafilms International is getting ready to produce its next feature film. “ESTHER WANJIRU” is a film about an African couple going through life and relationship struggles in the United States, with a bizarre twist. The movie's tag line summarizes it here: "In a parade of crocodiles, it is not easy to spot lizards."  Or, as we say it in Swahili, "Katika msafara wa mamba, kenge wamo."  It will be shot locally in the Twin Cities. Please see the synopsis at the bottom of this email.
 You are...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni mdundo baada ya mdundo… hii ni nyingine kutoka kwa Chris Brown, ‘Wrist’ feat. Solo Lucci – (Video)!

Staa wa muziki kutoka Marekani, Chris Brown anazidi kuzisogeza videos kutoka kwenye album yake ya saba, Royalty. Baada ya kusiogeza kwetu video ya Back to Sleep jana 15 December 2015, leo staa huyo anaileta kwetu mdundo mwengine kwenye video, ngoma inaitwa Wrist na hii pia inapatikana kwenye album mpya ya Chris Brown, Royalty itakayokuwa sokoni […]

The post Ni mdundo baada ya mdundo… hii ni nyingine kutoka kwa Chris Brown, ‘Wrist’ feat. Solo Lucci – (Video)! appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani