MHE. NYALANDU AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA KUTOKA NCHINI NORWAY
Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ( katika kati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola Elvestuen (kushoto) wakiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania, Bi. Hanne-Marie Kaarstad, (kulia) Kabla ya Mkutano wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola Elvestuen ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Feb
Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, NHC mafunzoni nchini Afrika Kusini
11 years ago
MichuziKamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Arusha
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Kudumu Ardhi, Maliasili na Mazingira wakagua viwanda
11 years ago
MichuziKamati ya Ardhi,Maliasili na Mazingira watembelea hifadhi ya taifa ya Mkomazi.
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi, maliasili na mazingira wakitembelea eneo la mradi wa kufuga faru pamoja na Mbwa Mwitu. Naibu waziri wa maliasili na mazingira ,Mahamud Mgimwa akiwa amemshika mtoto wa Tembo katika hifadhi ya taifa ya Mkomazi,wengine ni mwenyekiti wa...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, NHC mafunzoni Afrika Kusini
Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kuambatana na uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakisikiliza maelezo kutoka kwa Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Tumaini Thika jana. Kamati hiyo iko katika ziara ya mafunzo nchini humo.
Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira uliofuatana na...
10 years ago
VijimamboZiara ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika Migodi
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA MAZINGIRA YAENDELEA NA UKAGUZI KATIKA MIGODI
10 years ago
GPLKAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA, NHC MAFUNZONI AFRIKA KUSINI
10 years ago
GPLKAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YAENDELEA NA UKAGUZI KATIKA MIGODI