KAMATI YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA MAZINGIRA YAENDELEA NA UKAGUZI KATIKA MIGODI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wzIUlfHmACE/VFHfXOrTsvI/AAAAAAAGuI4/fjgOfxSUTLs/s72-c/20141029_131450.jpg)
Kamati ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Mazingira imeendelea na ukaguzi katika Migodi ya dhahabu kufahamu utekelezaji wa Sheri a ya Mazingira. Katika Mgodi wa Bulyanhulu Kamati iliangalia jinsi maji yenye kemikali yanavyohifadhiwa na udhibiti wa taka za plastiki mgodini hapo. Migodi iliyotembelewa mpaka sasa ni Mgodi wa North Mara, Geita na Bulyanhulu. Hii leo Kamati hii itaendelea na ziara yake katika mgodi wa Buzwagi.Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Mh. Ummy Mwalimu (wa pili kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLdiUkzG09vh-VyvViGY6xSX*VE2mZAmgsGjS88Lo2xioOnK-ykt3H5yLO4cNtyknKi5wPWAI1yPBzZzJVxXVmkN/022.jpg?width=650)
KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YAENDELEA NA UKAGUZI KATIKA MIGODI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E9UdX7S7dFU/VFAv6M-9TCI/AAAAAAADL0o/JgafOtBp67s/s72-c/20141028_152657.jpg)
Ziara ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika Migodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9UdX7S7dFU/VFAv6M-9TCI/AAAAAAADL0o/JgafOtBp67s/s1600/20141028_152657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z9We0OE88k/VFAv6K8BBkI/AAAAAAADL0s/iF52EtwCCqo/s1600/20141028_153108.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DNWDIXmmsFQ/VFAv6EmKqxI/AAAAAAADL00/7pjaGiWrMIY/s1600/20141028_153149.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--GU4jvCk7Zs/VEtWJO2phyI/AAAAAAAGtOk/AJ8wT10VNiA/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Kamati ya Bunge ya Kudumu Ardhi, Maliasili na Mazingira wakagua viwanda
![](http://3.bp.blogspot.com/--GU4jvCk7Zs/VEtWJO2phyI/AAAAAAAGtOk/AJ8wT10VNiA/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Js_okLMeRrU/VEtWJNUVRmI/AAAAAAAGtOs/xOq0qLy5p2o/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
11 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yaumwagia sifa Mgodi wa Buzwagi
Rai hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mheshimiwa James Lembeli, wakati kamati hiyo ilipotembelea mgodi huo tarehe 30 Oktoba 2014 .
Mhe.Lembeli alisema kuwa kamati yake ilifuatilia kwa kina utekelezaji wa maagizo na maelekezo ya Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) kwa migodi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MLURyF2V5G0/VEpXeg1inNI/AAAAAAAGtJg/yBTnTtU5XsA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Waziri Mahenge akutana na Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-MLURyF2V5G0/VEpXeg1inNI/AAAAAAAGtJg/yBTnTtU5XsA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
11 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA GOMBE
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yatembelea eneo ambalo NHC inatekeleza mradi wa nyumba wa Kawe City
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Felix Maagi akiongoza Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira wakati ilipotembelea eneo la mradi wa nyumba ambao unaotarajiwa kuanza katika uwanja wa kulenga shabaha wa jeshi la wananchi Kunduchi, baada ya makubaliano kati ya Jeshi la wananchi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kamati hiyo ikiongozwa na mwenyekiti wake na jimbo la Kahama Mbunge Mh. James Lembeli na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Profesa Anna...
11 years ago
MichuziKamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Arusha