Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Norway: Tanzania isiige mpango wa gesi kutoka nchi nyingine duniani

Ushirikiano baina ya Tanzania na Norway umedumu kwa zaidi ya miaka 50 na kwa muda mrefu, ulikuwa umeegemea kwa Tanzania kupewa mikopo na taifa hilo la ukanda wa Scandinavia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

‘Mahabusu’ Nyingine Kutoka Jerusalem Films,Wakali Kutoka Norway Ndani

Staa mkonhwe wa bongo movies, Jacob Stephen ambaye  ni mkurugenzi wa kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa filamu, Jerusalem Films Company amedokeza kuwa filamu inayokwenda kwa jina la MAHABUSU ndiyo kazi mpya inayofuata kuingia sokoni.

JB aliyasema hayo kupitia ukursa wake mtandaoni  ambapo aliweka picha hiyo hapo juu ya kasha la filamu hiyo na kuandika.

Kutoka Jerusalem films hii ndio inakuja.inaitwa MAHABUSU. Washiriki....unaikumbuka Regina unamkumbuka yule dada aliyecheza kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway

Soko kubwa la mafuta na gesi asilia katika bara la Ulaya inaelezwa kuwa limetekwa na Norway. Shirika la ‘The U.S Energy Information Administration (EIA) linaitaja Norway kama taifa la tatu katika ushindani wa soko la gesi na mafuta duniani, ikitanguliwa na Urusi na Qatar.

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania, nyingine 17 kuchuana usafi duniani

TANZANIA imejumuishwa kwenye nchi 18 zinazoshindanishwa kwa miji yake jinsi ilivyoshiriki katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kupunguza hewa ukaa, ambapo Bara la Afrika limewakilishwa na nchi tatu.

 

9 years ago

Bongo5

Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani

enhanced-7309-1430834722-9

Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.

enhanced-7309-1430834722-9

Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.

Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:

Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.

Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka

-       Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

 Zitto Kabwe, Mb

Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani