Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway
Soko kubwa la mafuta na gesi asilia katika bara la Ulaya inaelezwa kuwa limetekwa na Norway. Shirika la ‘The U.S Energy Information Administration (EIA) linaitaja Norway kama taifa la tatu katika ushindani wa soko la gesi na mafuta duniani, ikitanguliwa na Urusi na Qatar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Tanzania tunajifunza nini mgogoro Sudan Kusini?
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Wadau tunajifunza nini kutoka kwa Diamond?
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ugunduzi wa gesi uwe tija kwa wananchi
WAKATI nishati ya gesi ikiendelea kupanda bei, hali hiyo imeendelea kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kushindwa kumudu gharama za gesi ya kupikia. Baada ya gharama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sRaHQToOD88/VRm9pLBjihI/AAAAAAAHOdQ/7D5s_kWcI6E/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Statoil yafanya ugunduzi wa nane wa gesi asilia katika Bahari Kuu ya Tanzania
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene amebainisha hayo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari mjini Dodoma. Baada ya kuthibitishwa na Makamu wa Rais wa Statoil, Nick Maden pamoja na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
“ugunduzi huo wa gesi...
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Sikiliza mjadala ulioongozwa na Mjengwa redioni ukiwa na mada ni nini tunajifunza kwa ajali ya Musoma?
Kwa kusikiliza mjadala huo bofya hapa
11 years ago
Zitto Kabwe, MB06 Jul
Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
- Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Zitto Kabwe, Mb
Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Norway: Tanzania isiige mpango wa gesi kutoka nchi nyingine duniani
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Tunajifunza nini kutoka Burkina Faso?
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Tunajifunza nini kifo cha Betty Ndejembi?