Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
- Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Zitto Kabwe, Mb
Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka
-Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu
Zitto Kabwe, Mb
Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf).Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii, habari zake zimekuwa zinazimwa na hivyo kukosa kabisa mjadala mpana kitaifa na hasa kwa...
11 years ago
GPL
MKATABA WA GESI UMEVUJA: TANZANIA KUPOTEZA SHS 1.6 TRILIONI KWA MWAKA
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tanzania kupoteza Sh1.6 trilioni za gesi
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Serikali yasaini Mkataba wa kukusanya zaidi ya Sh. milioni 12 kupitia mapato ya ndani kwa mwaka 2015/16
Baadhi ya viongozi na watendaji wa Wizara ya Fedha na TRA wakati wa hafla ya kusaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikaki imesainiana Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. Milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.
Mkataba huo wa makubaliano umesainiwa leo...
10 years ago
Habarileo16 Jul
UN Tanzania, Norway watia saini mkataba wa bil 6.9/-
UMOJA wa Mataifa nchini Tanzania umetia saini mkataba na ubalozi wa Norway wa Sh bilioni 6. 9 (dola za Marekani milioni 3.1) kusaidia masuala mbalimbali nchini Tanzania. Masuala hayo ni ya wakimbizi, utawala bora, haki za binadamu na ushirikiano na watu wa Zanzibar.
11 years ago
Zitto Kabwe, MB17 Jul
MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA
MKATABA WA GESI WA STATOIL NA TANZANIA
Swali kwa TPDC: Kwanini Makubaliano ni tofauti na Mkataba Elekezi (Model PSA)?
Baada ya kuvuja kwa Mkataba wa kutafuta na kuzalisha Gesi Asilia (PSA) kati ya Serikali kupitia TPDC na Kampuni ya Norway ya StatOil na baada ya baadhi ya wachambuzi kuhoji kuhusu mkataba huo, Shirika la TPDC limetoa maelezo yake. Sio mara moja, sasa ni mara ya tatu. Kimsingi TPDC wanasema wachambuzi waliochambua nyongeza hiyo ya Mkataba hawana uelewa wa mambo haya na...
11 years ago
Bongo526 Jul
Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Drogba arudisha majeshi klabu ya Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja!
Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea.
Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, baada ya kuifungia timu hiyo mabao 157 katika mechi 341 na alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka klabu ya Galatasaray ya Uturuki.
Meneja Jose Mourinho, mapema alisema Stamford Bridge ni kama “kwake” mchezaji huyo.
Drogba ameiambia tovuti ya Chelsea kuwa: “Ulikuwa uamuzi rahisi- sikuweza kukataa nafasi ya kufanya...