Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drogba arudisha majeshi klabu ya Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja!

Didier-Drogba-Chelsea

Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea.

Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, baada ya kuifungia timu hiyo mabao 157 katika mechi 341 na alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka klabu ya Galatasaray ya Uturuki.

Meneja Jose Mourinho, mapema alisema Stamford Bridge ni kama “kwake” mchezaji huyo.

Drogba ameiambia tovuti ya Chelsea kuwa: “Ulikuwa uamuzi rahisi- sikuweza kukataa nafasi ya kufanya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja

Club ya Chelsea FC imetangaza kuwa imemrudisha kundini mshambuliaji Didier Drogba. Drogba ambaye alikiacha kikosi hicho mwaka 2012, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo. Baada ya kusaini mkataba mpya Drogba alisema: “Ulikuwa ni uamuzi rahisi- Sikuweza kukataa fursa ya kufanya kazi tena na Jose. Kila mmoja anafahamu uhusiano wa kipekee nilionao na […]

 

11 years ago

GPL

DIDIER DROGBA AREJEA CHELSEA, ASAINI MWAKA MMOJA

Drogba baada ya kurejea kundini. Didier Drogba wakati akifanyiwa vipimo (kushoto). Kulia akisaini mkataba wa mwaka mmoja Chelsea.…

 

10 years ago

GPL

Okwi aongeza mkataba wa mwaka mmoja Simba

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi(kulia) akisaini mkataba.
Na Mwandishi Wetu
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameongezewa mkataba mwingine wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo. Mganda huyo ameongezewa mkataba huo wakati ule wa awali ukitarajiwa kumalizika mapema Januari, mwakani. Alitua Msimbazi kwa utata akitokea Yanga. Simba tayari imewasajili wachezaji watatu wa kimataifa kutoka...

 

9 years ago

StarTV

Gerefa yaingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Suleiman Matola.

 

Hatimaye Chama Cha Mpira Mkoa wa Geita Gerefa kimeingia mkataba na Suleiman Matola kuwa kocha Mkuu wa Timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anainoa ipasavyo kwa lengo la kuhakikisha inapanda daraja ambapo kwa sasa timu ya Geita Gold Sports ipo katika ligi  daraja la Kwanza Tanzania Bara.

Mwenyekiti wa Chamacha Gerefa Salum Kulunge amesema kocha Matola kwa uwezo alionao wa ufundishaji na mafanikia aliyonayo katika kuinua mchezo wa soka huku akiwaana leseni kubwa ya ufundishaji wa soka hapa...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yasaini mkataba wa mwaka mmoja na Stand United FC

 Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim Kanda ya Ziwa, Bw. Justus Mukurasi (wapili kushoto) akibadilishana mkataba na Mwenyekiti wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Stand United, Bw. Amani Vicent (wapili kulia) wakati wa hafla fupi iliyofanyika mkoani Shinyanga jana. Mkataba huo utaiwezesha benki kuidhamini timu hiyo katika ligi kuu ya mpira wa miguu ya Vodacom (VPL) katika msimu wa 2014/2015. Wakishuhudia wa kwanza kushoto ni Meneja Msaidizi Tawi la Shinyanga, Bw. Hatunga Nicodemus na Katibu wa ...

 

10 years ago

Mtanzania

Stara arudisha majeshi Bongo Fleva

StaraTomasikatikaPoziNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa injili nchini, Stara Thomas ‘Stara’, ameamua kurudi rasmi katika muziki wa Bongo Fleva ambapo hivi karibuni anatarajia kuachia wimbo wake aliomshirikisha Banana Zoro.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Stara alisema anaimani wimbo huo uliopewa jina la ‘Nishike mkono’, utamtambulisha upya.
“Nimeamua kurudi nilipotekea, najua mashabiki zangu wengi watakuwa wakikumbukua jinsi gani nilikuwa nafanya vizuri,” alisema Stara.
Alisema wimbo huo utaweza...

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Mkataba wa Gesi umevuja: #Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka — #Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

Mkataba wa Gesi umevuja: Tanzania kupoteza shs 1.6 trilioni kwa mwaka

-       Norway kujirudishia misaada yake yote nchini kupitia mkataba huu

 Zitto Kabwe, Mb

Mkataba wa mgawanyo wa mapato yanayotokana na uzalishaji wa Gesi Asilia (PSA) kati ya Shirika la Mafuta na Gesi Tanzania na Kampuni ya Mafuta ya Norway umevujishwa (https://onedrive.live.com/view.aspx?cid=0EC42B180C06D0B8&resid=EC42B180C06D0B8%21107&app=WordPdf). Toka Mkataba huo uvuje na kuanza mijadala kwenye mitandao ya kijamii,...

 

10 years ago

Vijimambo

DIDIER DROGBA AJIUNGA NA KLABU YA MONTREAL IMPACT YA CANADA

doBaada ya kumaliza mkataba wake na Chelsea, mshambuliaji wa Ivory Coast, Didier Drogba amesaini mkataba wa miezi 18 wenye thamani ya dola milioni tatu kwa mwaka na klabu ya Montreal Impact inayoshiriki ligi kuu ya Marekani na Canada, Major League Soccer.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 aliondoka Stamford Bridge baada ya kuichezea timu hiyo mechi 381 na kushinda makombe manne ya Premier League.Rais wa klabu hiyo yenye makazi yake nchini Canada, Joey Saputo alisema kumchukua mshambuliaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Drogba kuondoka Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba anaihama klabu hiyo kwa mara ya pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani