Okwi aongeza mkataba wa mwaka mmoja Simba
![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lsc6kX6WlTK8au9fIc1f7x5KZBLq5ZgnOWyaEpK1S719Y9HzTeaXVG*s3VyDyDZ1mIfVzMxhBHSoSAUoL1i3HyL/KWIO.jpg)
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi(kulia) akisaini mkataba. Na Mwandishi Wetu KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameongezewa mkataba mwingine wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo. Mganda huyo ameongezewa mkataba huo wakati ule wa awali ukitarajiwa kumalizika mapema Januari, mwakani. Alitua Msimbazi kwa utata akitokea Yanga. Simba tayari imewasajili wachezaji watatu wa kimataifa kutoka...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Nov
Gerefa yaingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Suleiman Matola.
Hatimaye Chama Cha Mpira Mkoa wa Geita Gerefa kimeingia mkataba na Suleiman Matola kuwa kocha Mkuu wa Timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anainoa ipasavyo kwa lengo la kuhakikisha inapanda daraja ambapo kwa sasa timu ya Geita Gold Sports ipo katika ligi daraja la Kwanza Tanzania Bara.
Mwenyekiti wa Chamacha Gerefa Salum Kulunge amesema kocha Matola kwa uwezo alionao wa ufundishaji na mafanikia aliyonayo katika kuinua mchezo wa soka huku akiwaana leseni kubwa ya ufundishaji wa soka hapa...
11 years ago
Bongo526 Jul
Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yasaini mkataba wa mwaka mmoja na Stand United FC
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Drogba arudisha majeshi klabu ya Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja!
Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea.
Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, baada ya kuifungia timu hiyo mabao 157 katika mechi 341 na alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka klabu ya Galatasaray ya Uturuki.
Meneja Jose Mourinho, mapema alisema Stamford Bridge ni kama “kwake” mchezaji huyo.
Drogba ameiambia tovuti ya Chelsea kuwa: “Ulikuwa uamuzi rahisi- sikuweza kukataa nafasi ya kufanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmrgbNZVRD0jP0tXRn6gvg06nkFFExdINpnG2iFy3CCGXMyQt8mWEJ5238RrGkgZfvINNJXvPYwFjkgK2R5qtiT/kisiga.jpg)
Kisiga alamba mwaka mmoja Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKf2ULbTEhEJ2aiy24Tq-XxjDylK8KfXUE5usyFwoyW2abAGsPTfF0*Q8eUEP14xgXvMldTD7KYx*oojuzLywTp/IMG20120805WA002.jpg)
TWITE AONGEZA MKATABA YANGA
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Steve Hanse aongeza mkataba
10 years ago
Habarileo07 Aug
Wawa aongeza mkataba Azam
BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ayblx5pH*Oz*2CGWv*nISpmaZ3moHUYzI0WNvSesYimoyAYV62OEShKnRCwAS24-fTqLYK2dvYU8Uzr2a0W8qLm/Wizkidhoodie.jpg?width=650)
WIZKID AONGEZA MKATABA NA KAMPUNI YA VINYWAJI