Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIZKID AONGEZA MKATABA NA KAMPUNI YA VINYWAJI

Nyota wa muziki nchini Nigeria, Wizkid. NYOTA wa muziki nchini Nigeria, Wizkid, mambo yanazidi kumonyookea baada ya kuzindua albamu yake na kupata fursa za kuonyesha shoo katika miji mbalimbali duniani. Wizkid akisaini mkataba huo.
Mbali na kusaini mkataba na kampuni la mawasiliano la Nigeria, hivi majuzi amesaini mkataba na kampuni la vinywaji nchini humo baada ya mkataba wa miaka mitatu kumalizika ambapo amesaini mkataba wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya vinywaji ya SBC Tanzania yashusha bei ya vinywaji vyao,sasa ni Ths. 500 tu!

DSC_2480

Mkurugenzi wa Mafunzo na Uelimishaji Kitaifa kutoka kampuni ya SBC Tanzania, Rashid Chenja akionesha  tangazo jipya linaloonyesha punguzo la bei ya soda zao kutoka Tsh. 600 hadi Tsh. 500 kwa waandishi wa habari (hawapo pichani)  bei ambayo inaanza kutumika sasa kuanzia leo. Wengine: Kushoto ni Roselyne Bruno Meneja Masoko wa kampuni hiyo na kulia ni Omary Mandaya Meneja mauzo wa kampuni hiyo. (Picha zote  na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Kampuni ya kutengeneza...

 

11 years ago

GPL

TWITE AONGEZA MKATABA YANGA

Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite. Mlinzi kiraka wa timu ya Young Africans Mbuyu Junior Twite leo ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga baada ya kufikia makubaliano na uongozi na kupata majibu ya Shirikisho la Soka nchini TFF juu ya idadi ya wachezaji wa kimataifa kwa msimu ujao 2014/2015. Usajili wa Twite umefanyika leo makao makuu ya klabu ya Yanga chini ya Katibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Steve Hanse aongeza mkataba

Kocha Steve Hansen wa timu ya Rugby ya New Zealand amesaini kandarasi mpya itayomuweka mpaka mwaka 2017.

 

10 years ago

Habarileo

Wawa aongeza mkataba Azam

BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.

 

10 years ago

BBCSwahili

Luis Enrique aongeza mkataba Barca

Mkufunzi wa timu ya soka ya Barcelona Luis Enrique ameongeza mkataba mpaka mwaka 2017

 

10 years ago

GPL

Okwi aongeza mkataba wa mwaka mmoja Simba

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi(kulia) akisaini mkataba.
Na Mwandishi Wetu
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameongezewa mkataba mwingine wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo. Mganda huyo ameongezewa mkataba huo wakati ule wa awali ukitarajiwa kumalizika mapema Januari, mwakani. Alitua Msimbazi kwa utata akitokea Yanga. Simba tayari imewasajili wachezaji watatu wa kimataifa kutoka...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA SBS YAPUNGUZA BEI ZA VINYWAJI BARIDI

KAMPUNI ya SBC Tanzania Limited, watengenezaji na wasambazaji wa vinywaji baridi imepunguza bei ya vinywaji vyake kutoka shillingi mia sita (600) hadi mia tano (500) kwa chupa yenye ujazo wa Mililita 350 na 300.
Hayo yamesemwa na Meneja Mafunzo na Uwezeshaji Bw.Rashid Chenja (Pichani)alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa lengo la kupunguza bei ni kutokana na hali ngumu ya uchumi iliyopo.
“Imekuwa vigumu kwa mnywaji kuweza kudumu bei ya kinywaji...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TINGATINGA IMEINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA BRICOLEUR HOLDINGS Co.LIMITED YA JAPAN.

Na Zainabu Hamis,Globu ya Jamii. CHAMA Cha Wasanii wa uchoraji picha aina ya Tingatinga imeingia mkataba wa miaka tano (5) na kampuni ya Bricoleurholdings Co.Limited ya nchini Japan, kwa ajili ya kuwatafutia soko nchini Japan 
Makabidhiano ya Mkataba huo yamefanyika leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. 
Mwakilishi wa Kampuni ya Bricoleurholdings Co.Limited, Shoji Tsuchiya amemkabidhi mkataba huo Mwenyekiti wa Chama Cha Tingatinga, Zack Chimwanda, amesema kuwa kazi hii ya...

 

10 years ago

Vijimambo

JOKATE KIDOTI ASAINI MKATABA WA SH. BILIONI 8.5 NA KAMPUNI YA KICHINA

Jokate Mwegelo akizungumza katika hafla hiyo.Afisa Mtendaji mkuu wa kampuni ya Rainbow Shell Craft Company Limited (CEO), Deng Guoxun akuzungumza katika hafla hiyoJokate na Guoxun wakionyesha mikataba baada ya kusaini.Jokate na Guoxun wakibadilishana mikataba baada ya kusainiJokate akiteta jambo na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwenye hafla hiyo.Wageni mbalimbali waalikwa wakishughudia hafla hiyoMeya wa Manispaa ya Ilala akiteta jambo na Mbunge wa Viti maalum (CCM) Mariam Kisangi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani