Kampuni ya vinywaji ya SBC Tanzania yashusha bei ya vinywaji vyao,sasa ni Ths. 500 tu!
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uelimishaji Kitaifa kutoka kampuni ya SBC Tanzania, Rashid Chenja akionesha tangazo jipya linaloonyesha punguzo la bei ya soda zao kutoka Tsh. 600 hadi Tsh. 500 kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) bei ambayo inaanza kutumika sasa kuanzia leo. Wengine: Kushoto ni Roselyne Bruno Meneja Masoko wa kampuni hiyo na kulia ni Omary Mandaya Meneja mauzo wa kampuni hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Kampuni ya kutengeneza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKAMPUNI YA SBS YAPUNGUZA BEI ZA VINYWAJI BARIDI
Hayo yamesemwa na Meneja Mafunzo na Uwezeshaji Bw.Rashid Chenja (Pichani)alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa lengo la kupunguza bei ni kutokana na hali ngumu ya uchumi iliyopo.
“Imekuwa vigumu kwa mnywaji kuweza kudumu bei ya kinywaji...
10 years ago
VijimamboTBL YAANZISHA PROGRAMU YA MAFUNZO YA KUENDELEZA WAUZAJI WADOGO WADOGO WA VINYWAJI VYAO NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ayblx5pH*Oz*2CGWv*nISpmaZ3moHUYzI0WNvSesYimoyAYV62OEShKnRCwAS24-fTqLYK2dvYU8Uzr2a0W8qLm/Wizkidhoodie.jpg?width=650)
WIZKID AONGEZA MKATABA NA KAMPUNI YA VINYWAJI
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Skylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wao, sasa kuwalipia washindi wa kucheza style ya “Kikuku” Usafiri, Tiketi na Vinywaji kwenye show zao
Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya “Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali iliyopigwa ndani ya Dar Live.
Meneja her self …Aneth Kushaba...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/13.jpg)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAO, SASA KUWALIPIA WASHINDI WA KUCHEZA STYLE YA “KIKUKU” USAFIRI, TIKETI NA VINYWAJI KWENYE SHOW ZAO!
11 years ago
Habarileo31 Dec
Vinywaji vya kuongeza nguvu ni hatari
VINYWAJI baridi vyenye lengo la kuongeza nguvu vinadaiwa kuwa hatari kwa afya ya watumiaji baada ya kubaini baadhi ya kemikali husababisha madhara mwilini.
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Vyakula, vinywaji unavyokatazwa kutumia mara baada ya mazoezi
10 years ago
Habarileo30 Dec
Mungai atoa milioni 2/- kwa yatima za vyakula, vinywaji
MFANYABIASHARA maarufu wa mjini Iringa, Geofrey Mungai, amewawezesha watoto yatima wa kituo cha Daily Bread Life Children’s Home kusherehekea vizuri sikukuu ya Krismasi na kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2015 kwa kuchangia zaidi ya Sh milioni 2.
5 years ago
MichuziJAMBO YATOA MSAADA WA VINYWAJI KWA JESHI LA AKIBA SHINYANGA
Kampuni ya Utengenezaji na Usambazaji wa Vinywaji baridi ‘Jambo Food Products Limited’ ya mkoani Shinyanga imetoa msaada wa katoni 50 za vinywaji kwa wanafunzi wa Jeshi la Akiba wilaya ya Shinyanga waliopo katika mafunzo yao.
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo leo Ijumaa Februari 21,2020, Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Food Products Ltd, Esme Salum amesema kampuni hiyo imeungana na wanafunzi wa Jeshi la akiba kwa kuchangia katika kufanikisha mahafali ya mafunzo yatakayofanyika Machi...