JAMBO YATOA MSAADA WA VINYWAJI KWA JESHI LA AKIBA SHINYANGA
Kampuni ya Utengenezaji na Usambazaji wa Vinywaji baridi ‘Jambo Food Products Limited’ ya mkoani Shinyanga imetoa msaada wa katoni 50 za vinywaji kwa wanafunzi wa Jeshi la Akiba wilaya ya Shinyanga waliopo katika mafunzo yao.
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo leo Ijumaa Februari 21,2020, Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Food Products Ltd, Esme Salum amesema kampuni hiyo imeungana na wanafunzi wa Jeshi la akiba kwa kuchangia katika kufanikisha mahafali ya mafunzo yatakayofanyika Machi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziVIJANA 141 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SHINYANGA
10 years ago
VijimamboTaasisi ya Imetosha yatoa msaada kwa kituo cha Buhangija Shinyanga.
Taasisis ya Imetosha ya jijini Dar es Salaam leo hii imepeleka misaada mbali mbali katika kijiji cha watoto wasioona cha Buhangija, Shinyanga ambacho kwa sasa kinahifadhi pia watoto na vijana wenye ualbino takriban 300. Misaada hiyo ikiwemo mabelo ya mitumba 2 moja la masweta na jingine la suruali za jeans, unga, mchele, maharage, sukari, chumvi, ndoo 3 za mafuta ya kupikia, sabuni za kufulia box 8, vile vile...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA GVEN WEAR YATOA MSAADA WA BARAKOA KWA KAYA ZINAZOISHI MAZINGIRA MAGUMU MANISPAA YA SHINYANGA
Kampuni ya Ushonaji Nguo na Mitindo Gven Wear ya Mkoani Shinyanga imetoa msaada wa Barakoa 100 kwa kaya zinazoishi katika Mazingira Magumu katika Manispaa ya Shinyanga ili kujikinga na Maambukizi dhidi ya Virusi vya Corona ‘COVID 19’.
Zoezi la kutembelea kaya hizo na kukabidhi barakoa kwa walengwa limefanyika leo Alhamis Mei 14,2020 likiendeshwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Gven Wear Bi. Grace Mng’ong’o aliyekuwa ameambatana na Wenyeviti wa Serikali za...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6dOPOv9pSxY/Uz8RmgdVMnI/AAAAAAAFYo4/I_mpUjPENeM/s72-c/unnamed+(12).jpg)
JAPAN YATOA MSAADA WA MAGARI KWA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6dOPOv9pSxY/Uz8RmgdVMnI/AAAAAAAFYo4/I_mpUjPENeM/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8tR2gS2anfk/UyVq7tA4DHI/AAAAAAAFT8Y/bbsuU3N-MDw/s72-c/unnamed+(34).jpg)
VODACOM TANZANIA YATOA MSAADA YA MIAVULI 20 KWA JESHI LA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8tR2gS2anfk/UyVq7tA4DHI/AAAAAAAFT8Y/bbsuU3N-MDw/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-00ZePkSU4hQ/UyVq9UxULLI/AAAAAAAFT8g/i11wBm8KhPg/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MrlGLAUr05c/UyVq_UvVWTI/AAAAAAAFT8o/AKrSWHBrNVw/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
MichuziNIC YATOA MSAADA WA VIFAA VYA ELIMU KWA WATOTO WENYE UONI HAFIFU KITUO CHA ALBINO BUHANGIJA SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nuoWsihaC3k/VUDGx4KO5MI/AAAAAAAAAFU/hB66Gxo6jLc/s1600/12.jpg)
11 years ago
GPLVODACOM TANZANIA YATOA MSAADA YA MIAMVULI 20 KWA JESHI LA USALAMA BARABARANI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P-H746zAgQI/VgkyYPcChjI/AAAAAAAH7jA/La9LVoMwUOU/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1..jpg)
BENKI YA EXIM YATOA MSAADA WA MADAWATI SHINYANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-P-H746zAgQI/VgkyYPcChjI/AAAAAAAH7jA/La9LVoMwUOU/s640/EXIM%2BPIC%2B1..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ndjRdgbxPfQ/VgkyYDQ-hpI/AAAAAAAH7jE/t8kh-XYwRqQ/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
PPF yatoa msaada kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi, Shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s640/PPF_ALBINO2.jpg)
Meneja Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, (kushoto), na Afisa wa Fedha Mwandamizi wa Mfuko huo, Angel Mukasa, (kulia), na Mfanyakazi mwingine wa Mfuko huo, Omari Bundile, (wapili kushoto), wakigawa mafuta maalum yanayotumiwa na watu wenye ulemavu wa ngozi, pamoja na sare za shule na viatu kwa wanafunzi hawa wenye ulemavu wa ngozi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam leo Septemba 11, 2015. Katika kutekeleza sera ya mfuko ya kusaidia jamii,...