VIJANA 141 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SHINYANGA
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa kufunga Mafunzo ya Jeshi la Akiba leo Jumanne Machi 10,2020 Viwanja vya Sabasaba Kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga ambapo Jumla ya Vijana 141 kutoka wilaya ya Shinyanga wamehitimu mafunzo hayo yaliyoanza Novemba 4,2019. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa kufunga Mafunzo ya Jeshi la Akiba leo Jumanne Machi 10,2020 Viwanja vya Sabasaba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziJAMBO YATOA MSAADA WA VINYWAJI KWA JESHI LA AKIBA SHINYANGA
Kampuni ya Utengenezaji na Usambazaji wa Vinywaji baridi ‘Jambo Food Products Limited’ ya mkoani Shinyanga imetoa msaada wa katoni 50 za vinywaji kwa wanafunzi wa Jeshi la Akiba wilaya ya Shinyanga waliopo katika mafunzo yao.
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo leo Ijumaa Februari 21,2020, Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Food Products Ltd, Esme Salum amesema kampuni hiyo imeungana na wanafunzi wa Jeshi la akiba kwa kuchangia katika kufanikisha mahafali ya mafunzo yatakayofanyika Machi...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Askari 482 wa Jeshi la Zimamoto wahitimu mafunzo ya awali ya fani hiyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-m6MQB_x9B2g/VmrpzZWBe6I/AAAAAAAAFsU/1eVexJypV9c/s640/IMG_9136.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovSMwDKjPac/VmrpxWhfzKI/AAAAAAAAFsI/jyODFy8oEQ4/s640/IMG_9131.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Mazoezi ya vitendo wakati wa kuhitimisha mafunzo ya awali kwa wahitimu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyofanyika JKT Kimbiji
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakiwa wamebeba mfano wa majeruhi wa ajali, mara baada ya kumuokoa kutoka eneo la tukio wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakionyesha jinsi ya kuzima moto wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha...
9 years ago
MichuziMAZOEZI YA VITENDO WAKATI WA KUHITIMISHA MAFUNZO YA AWALI KWA WAHITIMU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI YALIYOFANYIKA CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI
9 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
![](https://mmi222.whatsapp.net/d/9WJgOE-N7YHK923-FAHKMFXPPvQ/Aiig3dhTYoKu8N-5HLx_onziXP4sVJ0cEaV3r3I1aG1B.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Feb
TAARIFA YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KUHUSU VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO KWA KUJITOLEA NA KUTAKA KUAJIRIWA NA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfAkxJgxDtg/VOc0eZxe6lI/AAAAAAADN2k/UA-FPaIyxRc/s1600/blogger-image-164819453.jpg)
Baadhi ya sababu za kuanzishwa kwa JKT ni:
Kubadili fikra za vijana wa nchi hii kutoka ile hali ya ukoloni kutegemea nchi nyingine kuleta maendeleo.
Kukusanya nguvu za vijana wote wa nchi hii na kuzielekeza kwa umoja wao kufanya kazi pamoja kwa manufaa ya...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Wahitimu mafunzo ya ujasiriamali
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
3,000 wahitimu mafunzo ya polisi
Na Rodrick Makundi, Moshi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Omar Kheir, atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za kufunga mafunzo ya awali ya askari polisi.
Mafunzo hayo yanayoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) mjini hapa, yatafikia tamati keshokutwa ambapo wageni mbalimbali akiwemo Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Ernest Mangu, watahudhuria.
Akizungumza na waandishi jana, Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Matanga Mbushi,...
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Vijana Babati wapata mafunzo kuhusu upatikanaji wa Mikopo kutoka Mfuko wa Vijana
Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Venerose Mtenga akisalimiana na Mkurugenzi wa Mji wa Babati Bw. Omari M. Mkombole alipomtembelea ofisini kwake wakati wa ziara ya Mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo Mjini Babati.
Na Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikalini – WHVUM
VIJANA wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waaswa kuzingatia Sera ya Taifa ya...