3,000 wahitimu mafunzo ya polisi
Na Rodrick Makundi, Moshi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Omar Kheir, atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za kufunga mafunzo ya awali ya askari polisi.
Mafunzo hayo yanayoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) mjini hapa, yatafikia tamati keshokutwa ambapo wageni mbalimbali akiwemo Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Ernest Mangu, watahudhuria.
Akizungumza na waandishi jana, Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Matanga Mbushi,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTangazo kwa wahitimu wa kidato cha nne, sita na JKT ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Polisi
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI SHULE YA POLISI MOSHI NA ATAREJESHEWA NAULI ATAKAPOFIKA...
9 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Wahitimu mafunzo ya ujasiriamali
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Wahitimu 50,000 tu huajiriwa kwa mwaka
10 years ago
MichuziWanafunzi Tisa (9) -Wahitimu mafunzo ya uuguzi na ukunga
11 years ago
Habarileo22 May
Wahitimu 24,000 Kidato cha 4 hawana matokeo
WATAHINIWA 24,204 wa Kidato cha Nne mwaka 2013, hadi sasa hawajawasilisha malipo ya ada zao kwa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), ili kupatiwa matokeo yao, Bunge limefahamishwa. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Kuruthum Mchuchuli (CUF).
10 years ago
Mwananchi02 Jul
MAONI: Ni janga wahitimu 18,000 kutupwa mitaani
5 years ago
MichuziWataalamu wa tiba ya usingizi Mloganzila wahitimu mafunzo maalumu
11 years ago
MichuziWahitimu wa mafunzo ya muda mfupi Arusha Techinical College