WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
Washiriki wa Manjano Dream-makers katika taasisi ya Manjano Foundation wamehitimu mitihani yao ya mwisho ya jinsi ya kupaka vipodozi (makeup). Kuanzia sasa, washiriki hao wanawake na wasichana 30 wanaianza safari yao ya mwaka mzima katika kujikita na ujasiriamali. Taasisi ya Manjano Foundation, ilianzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa programu ambayo itamuinua mwanamke wa Kitanzania kwa kumwezesha kujiongezea kipato na ambayo itakuwa ni chachu ya kubadili yale yote yaliyoyazunguka maisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTASWIRA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Wahitimu mafunzo ya ujasiriamali
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s72-c/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
MAFUNZO YA ELIMU YA UJASIRIAMALI KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO MKOANI MTWARA YAMALIZIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s1600/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
Akibainisha aina ya mafunzo ya ujasiriamali waliyopata vijana hao, ErickMchome Afisa Mahusiano wa Statoil-Tanzania amesema kuwaMafunzo waliyopata vijana hao yamelenga kuwawezesha vijana kuandika mpango wa biashara ikiwa ni hatua ya awali katika harakati za ujasiriamali.
Pamoja na hilo...
11 years ago
Michuzi21 Jun
EOTF KUTOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI 23-25 JUNI 2014
Lengo la mafunzo haya kwa mwaka huu ni kuwaelimisha na kuwawezesha wanawake wajasiliamali jinsi ya kupata mitaji, masoko na kufanya biashara endelevu.
Mada kuu zitahusu: Uwekezaji na Ukuazaji mtaji, Mtaji sio Lazima Uwe Fedha; Utunzaji wa Kumbukumbu za Biashara yako, Kuwaunganisha Wazalishaji...
9 years ago
MichuziVijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Kampuni ya Airtel Tanzania, kupitia mpango wake wa “Airtel Fursa Tunakuwezesha” imewapatia mafunzo ya ujasiriamali vijana wa manispaa ya Tanga kwa lengo la kuwawezesha kuboresha uendeshaji biashara na kukuza mitaji yao katika warsha iliyofanyika katika ukumbi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EnWk8ivIk4Y/Voq_FN70cuI/AAAAAAAIQVY/Yb1AI1o43SU/s72-c/1f8c6b07-d901-4245-94aa-8bf326fbddb9.jpg)
VIJANA JIJINI MOROGORO WACHANGAMIKIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA AIRTEL FURSA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ky0niSST31c/VP7D0VdeCaI/AAAAAAABnu4/VhnXncfHoEo/s72-c/wat1.jpg)
Wataalamu wa Mafunzo ya Ujasiriamali Wawapatia Mafunzo Wanakijiji wa Kitogani Zanzibar.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ky0niSST31c/VP7D0VdeCaI/AAAAAAABnu4/VhnXncfHoEo/s640/wat1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xYKgs_6dvIs/VP7D1OLW5aI/AAAAAAABnvA/8JKL_8rMZxM/s640/wat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HjcMnEdfVqw/VP7D5xUOQ4I/AAAAAAABnvI/WnNrvKW-O6Y/s640/wat3.jpg)
9 years ago
Michuzi10 Sep
SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KWA KUTUMIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO YAENDELEA
![](https://mmi693.whatsapp.net/d/tfe_bFsG9gIyZo9ZNxkg-VXwZFU/Aj4koK-AI--fNqQmdIpwqEEzPZP0TNvh_84ArlfA6JW2.jpg)
![](https://mmi112.whatsapp.net/d/ZBA5GqCmhXuTE7NQEsJgvVXwYZE/AgxpN55egoI9kkF5224wuTU-vXindnWPTiEartFiVOch.jpg)
10 years ago
VijimamboJumuiya ya Afrika Mashariki yaandaa mafunzo kwa Bodi ya chakula, madawa na vipodozi