TASWIRA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha Akitoa Mada kwenye Semina ya Kuwawezesha Wanawake Kuwa Wajasiriamali kupitia Vipodoz Vya Luv Touch Manjano Iliyoandaliwa na Manjano Foundation Kwa Lengo la Kuwajengea Udhubutu Wanawake Kufanya biashara pia namna ya Kujiwekea Akiba na Kutumiza Malengo yao.
Washiriki wa Mafunzo hayo wakisikiliza kwa Makini Mada Mbalimbali zilizokuwa Zikijadiliwa. Mafunzo ya Ujasiriamali kwa Mwanamke wa Kitanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi10 Sep
SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KWA KUTUMIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO YAENDELEA
![](https://mmi693.whatsapp.net/d/tfe_bFsG9gIyZo9ZNxkg-VXwZFU/Aj4koK-AI--fNqQmdIpwqEEzPZP0TNvh_84ArlfA6JW2.jpg)
![](https://mmi112.whatsapp.net/d/ZBA5GqCmhXuTE7NQEsJgvVXwYZE/AgxpN55egoI9kkF5224wuTU-vXindnWPTiEartFiVOch.jpg)
9 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
![](https://mmi222.whatsapp.net/d/9WJgOE-N7YHK923-FAHKMFXPPvQ/Aiig3dhTYoKu8N-5HLx_onziXP4sVJ0cEaV3r3I1aG1B.jpg)
11 years ago
Michuzi21 Jun
EOTF KUTOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI 23-25 JUNI 2014
Lengo la mafunzo haya kwa mwaka huu ni kuwaelimisha na kuwawezesha wanawake wajasiliamali jinsi ya kupata mitaji, masoko na kufanya biashara endelevu.
Mada kuu zitahusu: Uwekezaji na Ukuazaji mtaji, Mtaji sio Lazima Uwe Fedha; Utunzaji wa Kumbukumbu za Biashara yako, Kuwaunganisha Wazalishaji...
9 years ago
MichuziVijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Kampuni ya Airtel Tanzania, kupitia mpango wake wa “Airtel Fursa Tunakuwezesha” imewapatia mafunzo ya ujasiriamali vijana wa manispaa ya Tanga kwa lengo la kuwawezesha kuboresha uendeshaji biashara na kukuza mitaji yao katika warsha iliyofanyika katika ukumbi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EnWk8ivIk4Y/Voq_FN70cuI/AAAAAAAIQVY/Yb1AI1o43SU/s72-c/1f8c6b07-d901-4245-94aa-8bf326fbddb9.jpg)
VIJANA JIJINI MOROGORO WACHANGAMIKIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUPITIA AIRTEL FURSA
9 years ago
Michuzi15 Sep
BALOZI WA LUVTOUCH MANJANO ATEMBELEA WASHIRIKI WA SEMINA YA UJASIRIAMALI
![](https://mmi421.whatsapp.net/d/F82hJzwl0VVfyuGLfm-JY1Xxzys/AoaHe8YK86Xafq9tjBmvqGfDUs6lBmXWUSR0H4h1AoTr.jpg)
Lengo la Mradi huo ni kuona kwamba wanawake hawa wanajisimamia na kujikita vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara zao kwa lengo la kumuongezea ajira mwanamama na kuondoa dhana za ukosefu wa ajira kuwa chungu ya yeye kujiwezesha katika kujikimu mahitaji yake ya msingi,...
10 years ago
VijimamboJumuiya ya Afrika Mashariki yaandaa mafunzo kwa Bodi ya chakula, madawa na vipodozi
9 years ago
MichuziBenki ya NBC yawezesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ky0niSST31c/VP7D0VdeCaI/AAAAAAABnu4/VhnXncfHoEo/s72-c/wat1.jpg)
Wataalamu wa Mafunzo ya Ujasiriamali Wawapatia Mafunzo Wanakijiji wa Kitogani Zanzibar.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ky0niSST31c/VP7D0VdeCaI/AAAAAAABnu4/VhnXncfHoEo/s640/wat1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xYKgs_6dvIs/VP7D1OLW5aI/AAAAAAABnvA/8JKL_8rMZxM/s640/wat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HjcMnEdfVqw/VP7D5xUOQ4I/AAAAAAABnvI/WnNrvKW-O6Y/s640/wat3.jpg)