SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KWA KUTUMIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO YAENDELEA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shaer illusions mama Shekha Nasser Akiwaeleza jambo washiriki wa Semina ya Ujasiriamlai ( hawapo pichani) Namna ya Kujitangaza kwa Kutumia njia mbalimbali , kuwahudumia na kuwajali wateja wao. Semina hiyo iliyo chini ya Manjano Foundation ina lengo la kuwajengea uwezo wana wake kujikita kwenye biashara hasa kwa kutumia Vipodozi vya Luv Touch Manjano anayeshuhudia ni Mkufunzi wa Maswala ya Biashara Ndugu Felix Maganjila.
Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTASWIRA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.
Washiriki wakimsikiliza...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MTENDAJI WA 8020 FASHIONS SHAMIM MWASHA ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA KWENYE SEMINA YATAASISI YA MANJANO
9 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
![](https://mmi222.whatsapp.net/d/9WJgOE-N7YHK923-FAHKMFXPPvQ/Aiig3dhTYoKu8N-5HLx_onziXP4sVJ0cEaV3r3I1aG1B.jpg)
9 years ago
Michuzi15 Sep
BALOZI WA LUVTOUCH MANJANO ATEMBELEA WASHIRIKI WA SEMINA YA UJASIRIAMALI
![](https://mmi421.whatsapp.net/d/F82hJzwl0VVfyuGLfm-JY1Xxzys/AoaHe8YK86Xafq9tjBmvqGfDUs6lBmXWUSR0H4h1AoTr.jpg)
Lengo la Mradi huo ni kuona kwamba wanawake hawa wanajisimamia na kujikita vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara zao kwa lengo la kumuongezea ajira mwanamama na kuondoa dhana za ukosefu wa ajira kuwa chungu ya yeye kujiwezesha katika kujikimu mahitaji yake ya msingi,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Lt9ToQ5SxWADjOmVE3iNGce8UtyPv75g*wKMvYZ6hFKTT1PKHVRdjpY-af7*I1okM44ZKpPZKjX7Hy5A5go59PU/1.jpg?width=650)
SEMINA YA KIMATAIFA YA UJASIRIAMALI YAENDELEA DAR LIVE
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
UGLOW yahamasisha wanawake kutumia vipodozi sahihi
WANAWAKE nchini wameshauriwa kuhudhuria maonyesha ya vipodozi ili kuhakikisha wanaepukana na matumizi ya vipodozi bandia vinavyochangia kuwapa magonjwa mbalimbali yakiwemo ya kansa ya ngozi. Akizungumza na waandishi wa habari jana...
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Beth apata umaarufu kwa kutumia vipodozi kujichora
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/SHIGONGO-TCRA-SACCOS-8.jpg)
SHIGONGO ATOA SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANACHAMA WA TCRA SACCOS