Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beth apata umaarufu kwa kutumia vipodozi kujichora

Beth Gallagher mwenye umri wa miaka 25 amejizolea umaarufu mkubwa mitandaoni kwa kutumia vipodozi kujifananisha na watu mashuhuri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Apata umaarufu kwa kupiga picha na sodo

Kijana mmoja nchini Marekani amesifiwa kwa kugawa picha yake ya 'selfie' akibeba sodo huku akiwataka vijana wenzake kumuiga ili kuwasadia wasichana

 

9 years ago

Michuzi

SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KWA KUTUMIA VIPODOZI VYA LUV TOUCH MANJANO YAENDELEA

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Shaer illusions mama Shekha Nasser  Akiwaeleza jambo washiriki wa Semina ya Ujasiriamlai ( hawapo pichani) Namna ya Kujitangaza kwa Kutumia njia mbalimbali , kuwahudumia  na kuwajali wateja wao. Semina hiyo iliyo chini ya Manjano Foundation ina lengo la kuwajengea uwezo wana wake kujikita kwenye biashara hasa kwa kutumia Vipodozi vya Luv Touch Manjano anayeshuhudia ni Mkufunzi wa Maswala ya Biashara  Ndugu Felix Maganjila. Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: APATA UMAARUFU, ARUDI SONGEA

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipowasili nchini akitokea Marekani ambapo alikutana na Irene Sanga na kuandika mashairi na kukubalika na jina la Mjomba likatokea. Baada ya hapo alipata shoo nyingi lakini kuna jambo lilimtokea.Tambaa nayo mwenyewe... “Jambo kubwa la kwanza ni kwamba baada ya kupata shoo nyingi, nikaanza kuwa maarufu, naitwa na kufanya mahojiano mengi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UGLOW yahamasisha wanawake kutumia vipodozi sahihi

WANAWAKE nchini wameshauriwa kuhudhuria maonyesha ya vipodozi ili kuhakikisha wanaepukana na matumizi ya vipodozi bandia vinavyochangia kuwapa magonjwa mbalimbali yakiwemo ya kansa ya ngozi. Akizungumza na waandishi wa habari jana...

 

9 years ago

Michuzi

SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM

  DAR ES SALAAM, Tanzania. Tarehe 21 Septemba 2015 -- Symbion Power yenye tawi lake maeneo ya Ubungo leo imetangaza kuwa imefanikiwa katika majaribio ya kutumia gesi asilia katika mitambo yake . Gesi inapatikana  Ghuba ya  Mnazi iliyo karibu na Mtwara Kusini mwa Tanzania. 
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania


“Kwa mara nyingine Symbion...

 

11 years ago

Habarileo

'Aloe Vera ni salama kwa vipodozi'

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamiii imesema matumizi ya mmea wa Aloe Vera ni salama katika utengenezaji wa vipodozi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Fahamu umaarufu wa Ngorongoro Crater kwa kusoma hapa

DSC_0813

(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

DSC_0012

Na Mwandishi wetu

Ngorongoro Crater ni miongoni mwa maajabu saba ya dunia ukiwamo Mlima Kilimanjaro. Ni mwendo wa sana Tumbili na Nyani aina mbalimbali. Na usipokuwa mwangalifu na kuacha milango na madirisha wazi Soda, Biskuti na Ndizi mbivu ulizochukua kwa kujikimu na njaa ya siku nzima ukiwa mbugani, utakuta hakuna hata nyaraka.   Kama watazisoma au hapana hilo si jukumu lako ila utakuwa umepoteza nyaraka muhimu.

Ngorongoro Crater ni mbuga za...

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI AOGOPA DHAMBI YA KUJICHORA TATUU

Stori: Imelda Mtema
MSANII wa filamu za Kibongo, Esha Buheti, amesema kuwa anaweza akafanya vitu vingi vya kujiremba lakini anaogopa sana kujichora tatuu kwani ni dhambi. Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buheti. Akizungumza na mwandishi wa habari hii,  Esha alisema kuwa kitu ambacho anahisi inaweza kuwa ni moja ya dhambi mbaya kabisa ni kujichora tatuu mwilini kwani katika dini yoyote au dhehebu lolote halikubali mtu...

 

10 years ago

Vijimambo

Jumuiya ya Afrika Mashariki yaandaa mafunzo kwa Bodi ya chakula, madawa na vipodozi

Mrajisi wa Bodi ya Chakula,Dawa na Vipodozi Zanzibar Dkt. Burhan Othaman Simai akizindua Mafunzo ya siku tano ya kuwajengea Uwezo Watendaji wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi ambayo yanalenga kuanzisha Chombo maalum cha pamoja cha Usajili wa Dawa katika nchi Wanachama wa Afrika Mashariki.Mratibu wa Mafunzo ya kuwajengea Uwezo Watendaji wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Patrick Mwesigye kutoka nchini Rwanda akitoa nasaha zake kwa Watendaji hao katika Uzinduzi wa Mafunzo hayo huko Ukumbi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani