Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fahamu umaarufu wa Ngorongoro Crater kwa kusoma hapa

DSC_0813

(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

DSC_0012

Na Mwandishi wetu

Ngorongoro Crater ni miongoni mwa maajabu saba ya dunia ukiwamo Mlima Kilimanjaro. Ni mwendo wa sana Tumbili na Nyani aina mbalimbali. Na usipokuwa mwangalifu na kuacha milango na madirisha wazi Soda, Biskuti na Ndizi mbivu ulizochukua kwa kujikimu na njaa ya siku nzima ukiwa mbugani, utakuta hakuna hata nyaraka.   Kama watazisoma au hapana hilo si jukumu lako ila utakuwa umepoteza nyaraka muhimu.

Ngorongoro Crater ni mbuga za...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

See Trip

Out on safari: Ngorongoro Crater a must


Out on safari: Ngorongoro Crater a must-see trip
Carlisle Sentinel
NGORONGORO, Tanzania — The large lion looked both silly and sleepy after waking from a nap in a field of buttercups. He stretched out his powerful body, oblivious to our safari van, our excited whispers and the click of our cameras. Then, he stared at us ...

 

11 years ago

TheCitizen

Ngorongoro Crater road to be paved

>The Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) will spend Sh2.8 billion to pave the road out of its famous crater which is the main attraction to thousands of tourists visiting the area annually.

 

10 years ago

TheCitizen

Letters from my fatherland: The Ngorongoro Crater

Recently I wrote about the Serengeti National Park. Now I want to describe my experiences at the Ngorongoro Crater, where I spent a full day on safari.

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU URAFIKI WA GWAJIMA NA LOWASA SOMA HAPA LIVE!!


SASA NIMEELEWA KWA NINI LOWASSA, GWAJIMA NI MARAFIKINA LUQMAN MALOTO Jua lilikuwa limeshamezwa na mwangaza wa jioni ulikuwa unatoweka. Naam usiku ulikuwa unaingia. Abiria walikuwa wengi kuliko idadi ya daladala. Mimi nguvu sina, kwa hiyo nilijikalia pembeni nikitazama purukushani za wenye ubavu wao katika kugombea gari.Mara ikaja bajaji, ikaita bukubuku. Nami kwa mikogo nikaenda kupanda. Nilijua huko hatutagombana, na kweli hatukupigana. Nilijiweka pembeni, wakapanda wengine wawili nyuma,...

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?

Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO

Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...

 

5 years ago

Michuzi

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.

Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Apata umaarufu kwa kupiga picha na sodo

Kijana mmoja nchini Marekani amesifiwa kwa kugawa picha yake ya 'selfie' akibeba sodo huku akiwataka vijana wenzake kumuiga ili kuwasadia wasichana

 

5 years ago

BBCSwahili

Beth apata umaarufu kwa kutumia vipodozi kujichora

Beth Gallagher mwenye umri wa miaka 25 amejizolea umaarufu mkubwa mitandaoni kwa kutumia vipodozi kujifananisha na watu mashuhuri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani