Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.

Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka

Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud MgimwaHIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.

 

5 years ago

Michuzi

UONGOZI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAKUTANA NA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO KUJADILI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO.

Waziri wa  Maliasili  na  Utalii, Dkt.  Hamisi Kigwangalla, leo amekutana na viongozi wa Wilaya ya Ngorongoro, Viongozi wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro na Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, kujadili utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro .

Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro  kutekeleza shughuli zilezile...

 

11 years ago

Michuzi

MIRADI YA MAENDELEO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE YAENDELEA KUKAGULIWA

Wajumbe wa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango wa Halamashauri ya Wilaya ya Rungwe wakikagua tenki la maji katika kata ya Kyimo Jengo la hostel ya wasichana katika shule ya sekondari ya Lupoto, linaendelea kujengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

Wajumbe wa Kamati ya fedha wakiwa pamoja mbele ya jengo la Shule inayojengwa kwa nguvu za wananchi katika kata ya Ikuti.
Kwa Picha na habari zaidi bofya  Basahama Blogspot

 

10 years ago

Michuzi

KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la ndizi na kahawa la  mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji katika kijiji cha Mabila,wilayani Kyerwa mkoani KageraKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji ambaye ni mmiliki wa shamba la Ndizi,, Amesema shamba hilo  lina  miche 345 ambayo huvuna magunia 25 na ana shamba la migomba ambalo humpatia mavuno ya  mikungu...

 

10 years ago

Vijimambo

NYOTA WA BARCELONA WATEMBELEA HIFADHI YA NGORONGORO

Patrick Kluivert akiwa juu ya gari la kitalii pamoja na mchezaji mwenzie wote walisha chezea timu ya Barcelona na wako nchini Tanzania kupepetana na timu ya wakongwe wa liowahi kuchezea timu za Yanga, Simba na Taifa Stars hapo jumamosi.
Credit:ShaffihDaud.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodi Hifadhi ya Ngorongoro kutangazwa karibuni

BODI ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro inatarajiwa kutangazwa ndani ya wiki mbili kuanzia sasa. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki alipokuwa...

 

10 years ago

StarTV

Waliokuwa watumshi hifadhi ya Ngorongoro kizimbani.

Theodora Mrema,

Karatu.

 

Waliokuwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwemo aliyekuwa Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka hiyo ambaye sasa ni Mbunge wa Bunge Afrika Mashariki Bernard Mrunya wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Karatu kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili.

Miongoni mwa tuhuma hizo ni matumizi mabaya ya madaraka wakati wakiwa watumishi katika mamlaka hiyo

Waliofikishwa mahakamani hapo ni washtakiwa watano ambao ni pamoja na Bernard Mrunya aliyekuwa...

 

11 years ago

Michuzi

BASI LA LINAPOPATA HITILAFU KATIKATI YA HIFADHI YA NGORONGORO

Basi la kampuni ya AM likiwa limepata hitilafu katikati ya hifadhi ya taifa ya Ngorongoro. Gari la mafuta likivuka moja ya daraja ndani ya hifadhi hiyo. Eneo la mto ambalo linatajwa kuwa ni manywesheo ya wanyama katika hifadhi ya taifa ya Ngorongoro ambapo basi la kampuni ya AM lilipata hitilafu. Kondakta wa basi la AM aliyefahamika kwa jina la Majogoro akichota maji kwenye mto kwa ajili ya kuweka kwenye rejeta baada ya injini kuchemsha. Basi lilikunywa maji ,madumu ya...

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI WILAYA YA MERU MKOANI ARUSHA YATUMIA MILIONI 308/_ KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO HADI KUFIKIA APRILI 15

Na Woinde Shizza ,MERU

HALMASHAURI ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha imetumia zaidi ya shilingi milioni 308 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika kipindi Cha mwaka wa fedha 2019//2020 hadi kufikia Aprili 15 mwaka huu.

Akizungumza leo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Emmanuel Mkongo amesema kuwa halmashauri hiyo katika kuunga mkono jitihada za wananchi kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 ilitenga kutoka katika makusanyo ya mapato ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani