Waliokuwa watumshi hifadhi ya Ngorongoro kizimbani.
Theodora Mrema,
Karatu.
Waliokuwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwemo aliyekuwa Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka hiyo ambaye sasa ni Mbunge wa Bunge Afrika Mashariki Bernard Mrunya wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Karatu kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili.
Miongoni mwa tuhuma hizo ni matumizi mabaya ya madaraka wakati wakiwa watumishi katika mamlaka hiyo
Waliofikishwa mahakamani hapo ni washtakiwa watano ambao ni pamoja na Bernard Mrunya aliyekuwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
George Floyd: Mtu aliyewapatia hifadhi waandamanaji 80 waliokuwa wamekwama katika kafyu Marekani
10 years ago
Habarileo23 Dec
Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka
HIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.
10 years ago
Vijimambo09 Apr
NYOTA WA BARCELONA WATEMBELEA HIFADHI YA NGORONGORO
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0387.jpg)
Credit:ShaffihDaud.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0404.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0301.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0406.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0386.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0368.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0219.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0226.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0235.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0274.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0377.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0338.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0379.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Bodi Hifadhi ya Ngorongoro kutangazwa karibuni
BODI ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro inatarajiwa kutangazwa ndani ya wiki mbili kuanzia sasa. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki alipokuwa...
11 years ago
MichuziBASI LA LINAPOPATA HITILAFU KATIKATI YA HIFADHI YA NGORONGORO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9K9RMOC7VHA/U7vKWEmncjI/AAAAAAAAM7g/wXIzgLTq1bY/s72-c/Japan+4.jpg)
MTOTO WA MFALME WA JAPANI PRINCE FUMIHITO NA MKEWE WAZURU HIFADHI YA NGORONGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-9K9RMOC7VHA/U7vKWEmncjI/AAAAAAAAM7g/wXIzgLTq1bY/s1600/Japan+4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5EdxF2EfMQ4/U7vLfjjpjgI/AAAAAAAAM7o/yi7RvZotYyQ/s1600/japan+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-drvml-CjxK4/U7vMz-N6-cI/AAAAAAAAM74/GCeKnPCMi30/s1600/japan+2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9K9RMOC7VHA/U7vKWEmncjI/AAAAAAAAM7g/wXIzgLTq1bY/s72-c/Japan+4.jpg)
MTOTO WA MFALME WA JAPANI PRINCE AKISHINO NA MKEWE WAZURU HIFADHI YA NGORONGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-9K9RMOC7VHA/U7vKWEmncjI/AAAAAAAAM7g/wXIzgLTq1bY/s1600/Japan+4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5EdxF2EfMQ4/U7vLfjjpjgI/AAAAAAAAM7o/yi7RvZotYyQ/s1600/japan+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-drvml-CjxK4/U7vMz-N6-cI/AAAAAAAAM74/GCeKnPCMi30/s1600/japan+2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro yaipiga jeki taswa katika tuzo za Wanamichezo Bora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s400/download%2B%25282%2529.jpg)
Tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA zinatarajiwa kufanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo pia TASWA itatoa Tuzo ya Heshima kwa Rais Kikwete ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa sekta ya michezo katika uongozi...