BASI LA LINAPOPATA HITILAFU KATIKATI YA HIFADHI YA NGORONGORO
Basi la kampuni ya AM likiwa limepata hitilafu katikati ya hifadhi ya taifa ya Ngorongoro.
Gari la mafuta likivuka moja ya daraja ndani ya hifadhi hiyo.
Eneo la mto ambalo linatajwa kuwa ni manywesheo ya wanyama katika hifadhi ya taifa ya Ngorongoro ambapo basi la kampuni ya AM lilipata hitilafu.
Kondakta wa basi la AM aliyefahamika kwa jina la Majogoro akichota maji kwenye mto kwa ajili ya kuweka kwenye rejeta baada ya injini kuchemsha.
Basi lilikunywa maji ,madumu ya...
Michuzi