BASI LA LINAPOPATA HITILAFU KATIKATI YA HIFADHI YA NGORONGORO
Basi la kampuni ya AM likiwa limepata hitilafu katikati ya hifadhi ya taifa ya Ngorongoro.
Gari la mafuta likivuka moja ya daraja ndani ya hifadhi hiyo.
Eneo la mto ambalo linatajwa kuwa ni manywesheo ya wanyama katika hifadhi ya taifa ya Ngorongoro ambapo basi la kampuni ya AM lilipata hitilafu.
Kondakta wa basi la AM aliyefahamika kwa jina la Majogoro akichota maji kwenye mto kwa ajili ya kuweka kwenye rejeta baada ya injini kuchemsha.
Basi lilikunywa maji ,madumu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
10 years ago
StarTV24 Dec
Waliokuwa watumshi hifadhi ya Ngorongoro kizimbani.
Theodora Mrema,
Karatu.
Waliokuwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwemo aliyekuwa Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka hiyo ambaye sasa ni Mbunge wa Bunge Afrika Mashariki Bernard Mrunya wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Karatu kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili.
Miongoni mwa tuhuma hizo ni matumizi mabaya ya madaraka wakati wakiwa watumishi katika mamlaka hiyo
Waliofikishwa mahakamani hapo ni washtakiwa watano ambao ni pamoja na Bernard Mrunya aliyekuwa...
10 years ago
Vijimambo09 Apr
NYOTA WA BARCELONA WATEMBELEA HIFADHI YA NGORONGORO

Credit:ShaffihDaud.












11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Bodi Hifadhi ya Ngorongoro kutangazwa karibuni
BODI ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro inatarajiwa kutangazwa ndani ya wiki mbili kuanzia sasa. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki alipokuwa...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka
HIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.
11 years ago
Michuzi
MTOTO WA MFALME WA JAPANI PRINCE FUMIHITO NA MKEWE WAZURU HIFADHI YA NGORONGORO



11 years ago
Michuzi
MTOTO WA MFALME WA JAPANI PRINCE AKISHINO NA MKEWE WAZURU HIFADHI YA NGORONGORO



10 years ago
Michuzi
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro yaipiga jeki taswa katika tuzo za Wanamichezo Bora

Tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA zinatarajiwa kufanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo pia TASWA itatoa Tuzo ya Heshima kwa Rais Kikwete ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa sekta ya michezo katika uongozi...
10 years ago
Michuzi
Mh. Nyarandu azungumza na wanahabari kuhusu uvumi wa kuhamishwa kwa jamii ya wamasai katika hifadhi ya ngorongoro
