Mh. Nyarandu azungumza na wanahabari kuhusu uvumi wa kuhamishwa kwa jamii ya wamasai katika hifadhi ya ngorongoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-EkN7EZfqvyg/VG9qDm0Va9I/AAAAAAAGyv0/P4ZJNc9bBHQ/s72-c/DSC_2980.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Lazaro Nyalandu akizungumza na Waandishi wa Habari (hawako pichani) katika Ukumbi wa Habari wa Bunge Mjini Dodoma leo Novemba 21,2014, kuhusu Uvumi ulioanza kuenea kuwa jamii ya wamasai wanaoishi katika hifadhi ya Hifadhi ya Ngorongoro kuwa watahamishwa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU AAGIZA ASKARI WA MAREKANI KUONDOKA KATIKA HIFADHI
NA LOVENESS BERNARD, Mwanza
Waziri wa Maliasili na Utali, Lazaro Nyalandu amekipiga marufuku kikundi cha wanajeshi wastaafu wa Marekani (Vetpaw) ambacho kinadai kupambana na majangili nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Waziri Nyalandu alisema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikitumia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SIa6MDMCt6A/U85uKEcmWeI/AAAAAAAF4xc/7IiqvL8kbSg/s72-c/unnamed+(59).jpg)
WAZIRI WA BIASHARA VIWANDA, NA MASOKO ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU UZINDUZI WA MPANGO WA ELIMU KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SIa6MDMCt6A/U85uKEcmWeI/AAAAAAAF4xc/7IiqvL8kbSg/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-41Pu9MtHh9s/U85uM19wkLI/AAAAAAAF4xk/dfiNtkNbEnc/s1600/unnamed+(56).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s72-c/n4.jpg)
NSSF YATOA ELIMU KUHUSU HIFADHI YA JAMII KWA WANACHUO WA CBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s1600/n4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3tnnNPGHRzU/UyvNj_X6_fI/AAAAAAAA8Yg/I1RsEqbHmMg/s1600/n6.jpg)
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
11 years ago
Michuzi02 Jun
UHURU KWA VYOMBO VYA HABARI UNA I "SHAPE" JAMII ASEMA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII-NYARANDU
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa
Globu ya Jamii aliyekuwa jijini Mwanza.
Globu ya Jamii aliyekuwa jijini Mwanza.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro yaipiga jeki taswa katika tuzo za Wanamichezo Bora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s400/download%2B%25282%2529.jpg)
Tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA zinatarajiwa kufanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo pia TASWA itatoa Tuzo ya Heshima kwa Rais Kikwete ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa sekta ya michezo katika uongozi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania