NSSF YATOA ELIMU KUHUSU HIFADHI YA JAMII KWA WANACHUO WA CBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s72-c/n4.jpg)
Mkurugenzi wa Wanafunzi wanaochukua Mafunzo ya Shahada ya kwanza katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Dk. Esther Mbise akimkaribisha mgeni rasmi, Meneja Kiongozi Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), Eunice Chiume (katikati),wakati wa Semina kwa wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), iliyofanyika katika chuoni hapo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Masoko chuoni hapo, Felix Chale. Jumla ya wanachuo 180 walihudhuria semina hiyo.
Meneja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
10 years ago
MichuziWANACHUO WAWILI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DODOMA WAPATA GPA YA 4.9
Kwa kile ambacho kimeonekana ni tishio kwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wanafunzi hawa kutoka kampasi ya Dodoma wameweza kupata ufaulu ...
11 years ago
MichuziMIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII YATOA SEMINA KWA ASAKARI POLISI MJINI MOSHI.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0-FasT8tRIs/U7U8Y3H-CCI/AAAAAAABBqY/C6_vj47zKw8/s72-c/Tuzo.jpg)
NSSF YABEBA TUZO YA HUDUMA BORA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-0-FasT8tRIs/U7U8Y3H-CCI/AAAAAAABBqY/C6_vj47zKw8/s1600/Tuzo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K8X9c9D0o2s/U7U1jy3RDnI/AAAAAAABBpw/_l4bRGfKu00/s1600/t2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EkN7EZfqvyg/VG9qDm0Va9I/AAAAAAAGyv0/P4ZJNc9bBHQ/s72-c/DSC_2980.jpg)
Mh. Nyarandu azungumza na wanahabari kuhusu uvumi wa kuhamishwa kwa jamii ya wamasai katika hifadhi ya ngorongoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-EkN7EZfqvyg/VG9qDm0Va9I/AAAAAAAGyv0/P4ZJNc9bBHQ/s1600/DSC_2980.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xU5ANzprSp8/U1pTF9vNeII/AAAAAAAA9-w/aPU_c3OUiXQ/s72-c/n18.jpg)
NSSF YATOA SEMINA KUHUSU MAFAO NA UTUNZAJI KUMBUKUMBU KWA MAOFISA UTUMISHI RAS, DED NA MANISPAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xU5ANzprSp8/U1pTF9vNeII/AAAAAAAA9-w/aPU_c3OUiXQ/s1600/n18.jpg)
5 years ago
MichuziDOCTORS WITH AFRICA YATOA ELIMU YA CORONA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII SHINYANGA
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Yudas Ndungile akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya namna ya utoaji wa elimu na kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club Blog
JUMLA ya watoa huduma za Afya ngazi ya jamii 109 kutoka Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyangawamepewa mafunzo na mbinu mbalimbali za namna ya kukabiliana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Mafunzo hayo yametolewa kwa watoa huduma hao 53 kutoka...