Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII YATOA SEMINA KWA ASAKARI POLISI MJINI MOSHI.

Ofisa mnadhimu namba moja wa jeshi la polisi mkao wa Kilimanjaro SSP Koka Moita akichangia jambo wakati wa semina juu ya mifuko ya hifadhi ya jamii iliyotolewa kwa maofisa wa jeshi hilo wa ngazi mbalimbali. Kamanda wa polisi wa wilaya ya Moshi,OCD Deusdedit Kasindo akizungumza jambo wakati wa semina hiyo.
Viongozi wa ngazi ya juu wa jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia maelezo juu ya mifuko ya hifadhi ya jamii.
Baadhi ya askari polisi wa wilaya ya Moshi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI

SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI Ms. Sarah  Kibonde Msika, mkuu  wa mawasiliano  uhamasishaji  wa  mamlaka  ya usimamizi  na udhibiti  wa sekta  ya Hifadhi ya  jamii (SSRA) akizungumza na  wanahabari  leo mjini Iringa  Meneja wa NSSF  mkoa  wa Iringa Bw Marko Magheke akihojiwa na wanahabari  kuhusu warsha hiyo mjini Iringa leo  Washiriki  wa  warsha  ya  NSSRA  wakiwa katika  ukumbi wa  mikutano wa VETA mjini Iringa leo. Kwa picha...

 

11 years ago

Dewji Blog

SSRA wahimizwa kujituma ili mifuko ya hifadhi ya jamii itoe taarifa sahihi kwa wanachama

Mlozi pics

Mkuu wa Wilayaya Singida, Queen Mlozi

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Wilaya ya Singida,Queen Mlozi ameihimiza Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kujituma zaidi katika kuhakikisha mifuko mbalimbali ya hifadhi ya jamii inatoa taarifa sahihi kwa wananchi na wanachama watarajiwa juu ya haki zao kabla hawajajiunga.

Amedai kwamba wananchi na wanachama watarajiwa wakizitambua vema haki zao hizo watakuwa wamejengewa uwezo wa kufikia maamuzi sahihi katika kujiunga na...

 

5 years ago

Michuzi

UTT AMIS YATOA ELIMU YA MIFUKO YAO KWA WASHIRIKI WA SEMINA JIJINI MOROGORO

Mkurugenzi wa Uwekezaji wa UTT AMIS  Pamela Nchimbi akitoa darasa juu ya uwekezaji wa pamoja katika semina iliyoandaliwa na IMED kwa wastaafu watarajiwa wa TRA jijini Morogoro
Mkurugenzi wa Uwekezaji wa UTT AMIS  Pamela Nchimbi akitoa darasa juu ya uwekezaji wa pamoja katika semina iliyoandaliwa na IMED kwa wastaafu watarajiwa wa TRA jijini Morogoro
Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo wakisikiliza kwa umakini.

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto za mifuko ya hifadhi ya jamii

Wiki iliyopita nilielezea baadhi ya mambo yanayosababisha kuwagusa wachangiaji wa mifuko ya pensheni ya hifadhi ya jamii, hasa wanapokuwa wanapoteza uanachama na kinga yao ya hifadhi ya jamii na pale wanapoondoka au kuhamia mfuko mwingine wakiwa ndani ya nchi na akivuka mpaka na kwenda nje ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inafilisi Mifuko Hifadhi ya Jamii

Tunalazimika tena leo kuitahadharisha Serikali kuhusu athari zinazotokana na utamaduni wake wa kutolipa madeni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ilipe madeni mifuko hifadhi ya jamii’

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Said Mtanda, ameitaka serikali kulipa madeni ya Mifuko ya  Hifadhi ya Jamii, ili kusaidia mifuko hiyo kuweza kufanya shughuli za maendeleo...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge lahaha kuikwamua mifuko ya hifadhi za jamii

KATIKA kuhakikisha mifuko ya hifadhi za jamii nchini haitetereki kiuchumi, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imelazimika kuingilia kati kusaka suluhu ya hatima ya deni la Sh trilioni 8.4 ambalo Serikali inadaiwa na mifuko hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani