KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iw5m0Mu4lHM/VXtJm3kMlqI/AAAAAAAC6eE/PXNeQoht1DQ/s72-c/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la ndizi na kahawa la mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji katika kijiji cha Mabila,wilayani Kyerwa mkoani Kagera
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji ambaye ni mmiliki wa shamba la Ndizi,, Amesema shamba hilo lina miche 345 ambayo huvuna magunia 25 na ana shamba la migomba ambalo humpatia mavuno ya mikungu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kPXqil5NXRk/U3ca-V7upII/AAAAAAAChPc/mOdayEYkF7Q/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYA YA KALIUA,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-kPXqil5NXRk/U3ca-V7upII/AAAAAAAChPc/mOdayEYkF7Q/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4yS-dNnMz0o/U3ca9Si53DI/AAAAAAAChPQ/yYFnK3XUKqM/s1600/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
DC ataka miradi isimamiwe
11 years ago
MichuziMIRADI YA MAENDELEO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE YAENDELEA KUKAGULIWA
Kwa Picha na habari zaidi bofya Basahama Blogspot
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K0MfeHCEgD8/XqBJlSgDboI/AAAAAAALn1E/lsEc44nH7JQ7b0APJUgARxkFl23PWEL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200404-WA0159%2B%25281%2529.jpg)
HALMASHAURI WILAYA YA MERU MKOANI ARUSHA YATUMIA MILIONI 308/_ KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO HADI KUFIKIA APRILI 15
HALMASHAURI ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha imetumia zaidi ya shilingi milioni 308 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika kipindi Cha mwaka wa fedha 2019//2020 hadi kufikia Aprili 15 mwaka huu.
Akizungumza leo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Emmanuel Mkongo amesema kuwa halmashauri hiyo katika kuunga mkono jitihada za wananchi kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 ilitenga kutoka katika makusanyo ya mapato ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-L26xI0BEztw/UzGBfY3cdbI/AAAAAAAFWPU/XkG-Vq33Mmc/s72-c/IMG_0868.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAMILISHA ZIARA YAKE WILAYA YA ILALA,AKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO.
![](https://4.bp.blogspot.com/-awi3LJPVwCc/UzFrK_9xWYI/AAAAAAAAk3E/BgpfOOMcGfc/s1600/1.+Kinana+akizungumza+kwneye+mradi+wa+tangi+la+maji+Tabata+Kisiwani.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
9 years ago
Michuzi23 Dec
11 years ago
Michuzi26 Jun
HALMASHAURI ZATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MIRADI YA MAENDELEO
![IMG-20140625-WA0044](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/WHf-mX2nP8ipkmLPYSvtkUgzFrjg48ijpw-7RyfoOWbnW03yhwDkdaAPFrH1KZUtxaFK5crKIX96S9Rg1XrDDr4OcJmEfouRXZwPg58nr8aRLRXblKnKX44DoBz5Em0Xn8XfKWI1cspK=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0044.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140625-WA0045-1](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mukhUczLw4bVt9ZYmXz3WqpYGdDNM4RmmzVcS03_97uOC-H2xsIy0u35wo_DZff5n_14N1TfaG63XaGAePqS8kFv1kpqZIVRqlQJG6esBcJklsYQqaqJ-s2HpWpwI-XBRPuZKuryWybChHg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0045-1.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140625-WA0040](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/8PgvOtfLnBQcfcQISFUw0xBxB-lJfGXxjlHPYSSy7_e3Xu7NC6ZLwgoerxS9GkuNsAe3abBkdrhgWSG316gHyIUkuJ_LXqC3zCLoR0mL8gx3Mh4oE104PMCv0_Tpg1Rk96vN6sPMbyht=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0040.jpg?w=627&h=470)
HALMASHAURI mbalimbali nchini kwa kushirikiana na wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Kinana awataka Wana CCM kushiriki miradi ya maendeleo
WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wametakiwa kuacha tabia ya kuwa watazamaji kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa mjini Mlandizi, Kibaha wakati...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10