Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUME YATOA UFAFANUZI WA UTEUZI WA MADIWANI WANAWAKE WA VITIMAALUM HALMASHAURI YA WILAYA YA KYERWA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la ndizi na kahawa la  mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji katika kijiji cha Mabila,wilayani Kyerwa mkoani KageraKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji ambaye ni mmiliki wa shamba la Ndizi,, Amesema shamba hilo  lina  miche 345 ambayo huvuna magunia 25 na ana shamba la migomba ambalo humpatia mavuno ya  mikungu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tume yatoa Ufafanuzi kuhusu ucheleweshwaji wa matokeo ya Urais

PIX 1

Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi  Bw.Hamid M. Hamid (wapili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais jana jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti  wa Tume Jaji  Mstaafu Damian Lubuva.

PIX 2

Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na  Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais  katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jana katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.

PIX 3

Msaidizi wa Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

Na Richard Bagolele,Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...

 

9 years ago

Michuzi

RC DODOMA AZINDUA BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA KONGWA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma mhe. Chiku Gallawa (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na madiwani wapya wa Baraza la Halmashauri ya wilaya Kongwa wakati wa uzinduzi wa baraza hilo mapema wiki hii. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa baraza jipya la madiwani la hamashauri ya Wilaya Kongwa mapema wiki hii, Mhe. Gallawa alisisitiza kuongeza mapato ya halmashauri na kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Sehemu ya Watendaji na Madiwani wapya...

 

9 years ago

Michuzi

TUME YATOA UFAFANUZI KWA CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA KATIKA UCHAGUZI

Habari za Tume ya Taifa ya uchaguzi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YATOA UFAFANUZI WA SINTOFAHAMU UKARABATI WA BARABARA YA IGANZO- KABWE.

Mhandisi wa Jiji la Mbeya, Laynas Sanya, akizungumza na vyombo vya habari Iganzo jijini Mbeya kuhusiana na ukarabati wa barabara ya Iganzo- Kabwe.Mhandisi Msaidizi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Injinia Chaula, ambaye ndiye anayesimamia barabara hiyo akionesha namna Greda linavyopasa kusembua kifusi kabla ya kushindilia.Afisa Mstaafu wa Idara ya ujenzi mkoani Mbeya,Betwel Mbelile akionesha kushangazwa na namna barabara hiyo inavyokarabatiwa.Sehemu ya barabara ambayo imekamilika baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU USHIRIKI WA WANAJESHI kWENYE ZOEZI HILO

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa ufafanuzi kuhusu ushiriki wa Wanajeshi katika  uboreshaji wa zoezi la uandikishaji wa daftari la kupiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Tume inasema kutakuwepo na wanajeshi 6 wa Jeshi la Wananchi katika kila kituo ambao kazi yao ni kusaidia shughuli za lojistiki kama vile kuhamisha vifaa kutoka kata moja kwenda nyingine.
Pia wanajeshi hao watasaidia katika shughuli za kufanya matengenezo madogo madogo ya vifaa yanayoweza kujitokeza wakati wa zoezi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani