TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU USHIRIKI WA WANAJESHI kWENYE ZOEZI HILO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TPRePmoCsTs/VIs9_r1fH4I/AAAAAAAG2yQ/8q7cHGu-2Dw/s72-c/NEC_BANNER2.gif)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa ufafanuzi kuhusu ushiriki wa Wanajeshi katika uboreshaji wa zoezi la uandikishaji wa daftari la kupiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Tume inasema kutakuwepo na wanajeshi 6 wa Jeshi la Wananchi katika kila kituo ambao kazi yao ni kusaidia shughuli za lojistiki kama vile kuhamisha vifaa kutoka kata moja kwenda nyingine.
Pia wanajeshi hao watasaidia katika shughuli za kufanya matengenezo madogo madogo ya vifaa yanayoweza kujitokeza wakati wa zoezi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-auPsqvIuirU/UyLBfvVzoaI/AAAAAAAFTe0/yyaMarrlRHs/s72-c/IMG_8915.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-auPsqvIuirU/UyLBfvVzoaI/AAAAAAAFTe0/yyaMarrlRHs/s1600/IMG_8915.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s_a3Y0K4ZE0/VWBDLnEdYZI/AAAAAAABPPA/67tXVwOx1Ag/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu wanajeshi wastaafu kudai Sh. Milioni 3
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Gazeti la Kiingereza la The East African, Toleo Na. 1030 lililochapishwa mwishoni mwa wiki, Jumamosi, Julai 26, 2014, limeandika habari yenye kichwa cha habari “Ex-soldiers want $3m for covert Congo operation”, ikiwa na maana kuwa wanajeshi wastaafu wanadai kulipwa dola za Marekani milioni tatu kwa kushiriki operesheni ya siri katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Inadaiwa katika habari hiyo kwa zaidi ya wanajeshi 400...
10 years ago
Michuzi25 Apr
10 years ago
Michuzi25 Apr
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Tume yatoa Ufafanuzi kuhusu ucheleweshwaji wa matokeo ya Urais
Makamu Mwenyekiti Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw.Hamid M. Hamid (wapili kushoto) akisoma matokeo ya wagombea nafasi ya Urais jana jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu,anayemfuata kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Baadhi ya waandishi wa Habari wa Ndani na Nje ya nchi wakifuatilia zoezi la kutangazwa kwa matokeo ya wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu jana katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.
Msaidizi wa Mkurugenzi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FHviruyQ2ns/Vi1NGgqlWtI/AAAAAAAICzk/L6v_7ZADKxU/s72-c/e5a78ea66139c40bf2e6f660b035dd1a.jpg)
TUME YATOA UFAFANUZI KWA CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA KATIKA UCHAGUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHviruyQ2ns/Vi1NGgqlWtI/AAAAAAAICzk/L6v_7ZADKxU/s640/e5a78ea66139c40bf2e6f660b035dd1a.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_RprASZHN6Q/default.jpg)