HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YATOA UFAFANUZI WA SINTOFAHAMU UKARABATI WA BARABARA YA IGANZO- KABWE.
Mhandisi wa Jiji la Mbeya, Laynas Sanya, akizungumza na vyombo vya habari Iganzo jijini Mbeya kuhusiana na ukarabati wa barabara ya Iganzo- Kabwe.
Mhandisi Msaidizi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Injinia Chaula, ambaye ndiye anayesimamia barabara hiyo akionesha namna Greda linavyopasa kusembua kifusi kabla ya kushindilia.
Afisa Mstaafu wa Idara ya ujenzi mkoani Mbeya,Betwel Mbelile akionesha kushangazwa na namna barabara hiyo inavyokarabatiwa.
Sehemu ya barabara ambayo imekamilika baada ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Wananchi washiriki ukarabati wa barabara Halmashauri ya Mji wa Tarime!!
9 years ago
Michuzi23 Dec
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m-tzBKQFU7w/Xt_ziSHaqTI/AAAAAAALtP8/Z5DJZDGdhpwPIg_47T6xE-bb_rp-x14twCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATOA MIL.626 KWA VIKUNDI
Na.Ashura Mohamed -Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imekabidhidi Hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 626,kwa vikundi 100 vya Mikopo kwa makundi matatu ya Wanawake,Vijana na watu wenye Walemavu.
Akikabidhi Hundi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro alisema fedha hizo ni kutoka Mapato ya ndani ambapo lengo ni kuwawezesha wananchi, kiuchumi ili kutimiza Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano.
Daqqaro alisema kuwa serikali ya Sasa imekuwa ikisisitiza uwekezaji kwenye sekta ya Viwanda...
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
10 years ago
VijimamboCBE MBEYA RASMI KUJENGA CHUO IGANZO, WAKABIDHIANA MIKATABA NA WANANCHI.
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA LAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA SHUGHULI MBALI MBALI.
11 years ago
Mwananchi28 May
Ukarabati wa barabara Dar mbioni kuanza
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hXlg-dhHCCs/UzFPcJj6u7I/AAAAAAAFWJ4/5b17AujZDfM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
azindua ukarabati wa Barabara ya Korogwe hadi Mkumbara
![](http://2.bp.blogspot.com/-hXlg-dhHCCs/UzFPcJj6u7I/AAAAAAAFWJ4/5b17AujZDfM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fN65yc6XEN4/UzFPcAA919I/AAAAAAAFWKA/8y3ozrLMOFg/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Habarileo18 Nov
Marekani yasaidia ukarabati wa barabara Kilombero Vijijini
SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika lake la Maendeleo (USAID), imeidhinisha Sh bilioni 2.4 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kwa ajili ya kukarabati barabara za vijijini zenye urefu wa kilometa 37.3 kwa kiwango cha changarawe.