Ukarabati wa barabara Dar mbioni kuanza
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki ameziagiza Manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke kupeleka kwake orodha ya barabara zilizoharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha mwaka huu ili ziweze kukarabatiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_uYNo1OPj3Y/VTy_ztdGGbI/AAAAAAAHTXM/JF0MphHSbEM/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mabasi ya kasi Dar mbioni kuanza kazi
MABASI maalumu kwa ajili ya kutoa huduma chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yameingia nchini tayari kwa kuanza huduma.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mabadiliko ya barabara Dar kuanza leo
10 years ago
Habarileo25 Feb
Benki ya Walimu mbioni kuanza
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimesema ndoto ya muda mrefu ya kuanzisha Benki ya Walimu imekaribia kukamilika kwani wanatarajia kuanza kuuza hisa kwa walimu na Watanzania wote Aprili mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kulipa faini kisasa mbioni kuanza
10 years ago
GPLUJENZI WA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO MBIONI KUKAMILIKA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hXlg-dhHCCs/UzFPcJj6u7I/AAAAAAAFWJ4/5b17AujZDfM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
azindua ukarabati wa Barabara ya Korogwe hadi Mkumbara
![](http://2.bp.blogspot.com/-hXlg-dhHCCs/UzFPcJj6u7I/AAAAAAAFWJ4/5b17AujZDfM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fN65yc6XEN4/UzFPcAA919I/AAAAAAAFWKA/8y3ozrLMOFg/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Habarileo18 Nov
Marekani yasaidia ukarabati wa barabara Kilombero Vijijini
SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika lake la Maendeleo (USAID), imeidhinisha Sh bilioni 2.4 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kwa ajili ya kukarabati barabara za vijijini zenye urefu wa kilometa 37.3 kwa kiwango cha changarawe.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Ujenzi chuo cha VETA Ludewa mbioni kuanza
NAIBU Waziri wa Elimu, Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema serikali imeanza maandalizi ya ujenzi wa vyuo vya ufundi vya Wilaya ya Ludewa, Namtumbo, Kilindi, Chunya na Ukerewe. Mhagama alitoa...