Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko ya barabara Dar kuanza leo

>Utekelezaji wa mabadiliko ya matumizi ya barabara katikati ya Jiji la Dar es Salaam unaanza leo na alama za kuonyesha njia hizo zimeshawekwa katika barabara zote zitakazohusika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukarabati wa barabara Dar mbioni kuanza

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki ameziagiza Manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke kupeleka kwake orodha ya barabara zilizoharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha mwaka huu ili ziweze kukarabatiwa.

 

11 years ago

Michuzi

MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA SIKU YA TAREHE 28/04/2014. TRAFFIC CIRCULATION AT CBD

Key: 1. RANGI YA NJANO - Njia ya Uelekeo Mmoja {One Way}.
 2. RANGI YA BLUE MPAUKO - Njia ya Mielekeo Miwili {Two Way} 
 3. RANGI YA KIJANI - Mitaa ya Kutembea kwa Miguu Magari marufuku {Walking Streets} 
 4. RANGI NYEKUNDU - Barabara za kupita Daladala
 5. RANGI YA BLUU ILIYOIVA - Barabara za DART
 6. DUARA ZA NJANO - Mzunguuko {Roundabout} 
 7. MSALABA WA KIJANI - Makutano yenye Taa za kuongozea Magari {Singnalized Intersection}
1. Kipande cha Mtaa wa Samora kuanzia Mnara wa Askari (Askari...

 

9 years ago

Habarileo

Ligi Dar es Salaam kuanza leo

MICHUANO ya ligi ya mkoa wa Dar es Salaam kwa msimu wa mwaka 2015/2016 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi leo kwa michezo minne kupigwa katika viwanja tofauti.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchunguzi wa moyo kuanza leo Dar

UCHUNGUZI wa maradhi ya moyo bure unaanza jijini Dar es Salaam leo ambako watoto 100 watakaobainika kuwa na maradhi hayo watapelekwa nchini India kwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Fastjet kuanza ‘route ya 5’ leo ni ya Dar- Lilongwe (Malawi)

DSC_0480.jpghhhMeneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati akifafanua jambo kwa waandishi (hawapo pichani) wakati wa mkutano maalum na wanahabari akielezea namna fastjet inavyotanua safari zake katika nchi za Afrika, mkutano uliofanyika hivi karibuni Unguja-Zanzibar wakati wa tamasha la 18, la filamu za nchi za majahazi maarufu ZIFF, ambapo fastjet pia ni wadhamini kwa miaka miwili mfululizo (Picha na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar Es Salaam)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafunzo ya ndondi kwa vitendo kuanza leo Dar

SHIRIKISHO la Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), leo linaanza kutoa mafunzo ya mchezo huo kwa vitendo kwa waamuzi na mabondia kwa lengo la kuuboresha. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa TPBC,...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo

 Taswira za barabara ya Kivukoni Drive jijini Dar es salaam inayoendelea kukarabatiwa na kujengwa njia ya mabasi yaendayo haraka. Hapa ni nje ya Mahakama Kuu

 

10 years ago

Michuzi

MAANDAMANO YA AMANI YA WADAU WA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii IMEELEZWA kuwa nchi zilizoendelea ndio zinaongoza katika uharibifu wa mazingira kwa utumiaji wa Nuklia ,pamoja na uchimbaji wa Chuma hivyo zinawajibu kuwekeza katika mabadiliko tabia nchi kutokana na kuchangia hali hiyo .
Hayo ameyasema leo Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia Nchi Tanzania (CAN),Sixbaty Mwanga wakati wa matembezi ya amani ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi yaliyofanyika  viwanja vya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Amesema mabadiliko ya tabia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani