Benki ya Walimu mbioni kuanza
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimesema ndoto ya muda mrefu ya kuanzisha Benki ya Walimu imekaribia kukamilika kwani wanatarajia kuanza kuuza hisa kwa walimu na Watanzania wote Aprili mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMfumo wa kisasa wa kibenki kuanza kufungwa Benki ya Walimu hivi karibuni
10 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
11 years ago
Mwananchi28 May
Ukarabati wa barabara Dar mbioni kuanza
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kulipa faini kisasa mbioni kuanza
10 years ago
Habarileo17 Aug
Mabasi ya kasi Dar mbioni kuanza kazi
MABASI maalumu kwa ajili ya kutoa huduma chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yameingia nchini tayari kwa kuanza huduma.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Ujenzi chuo cha VETA Ludewa mbioni kuanza
NAIBU Waziri wa Elimu, Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema serikali imeanza maandalizi ya ujenzi wa vyuo vya ufundi vya Wilaya ya Ludewa, Namtumbo, Kilindi, Chunya na Ukerewe. Mhagama alitoa...
10 years ago
Habarileo11 Oct
Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-
SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.
10 years ago
Habarileo08 Feb
Tume ya Walimu kuanza kazi Julai
SERIKALI imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.