Mabasi ya kasi Dar mbioni kuanza kazi
MABASI maalumu kwa ajili ya kutoa huduma chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yameingia nchini tayari kwa kuanza huduma.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL
MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Mabasi ya mwendo kasi kuanza kazi Januari 10







10 years ago
Habarileo27 Apr
Mkataba wasainiwa mabasi ya kasi kuanza
MIEZI imeanza kuhesabika kabla ya huduma ya usafiri kupitia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kuanza, baada ya mkataba kusainiwa kati ya serikali na wamiliki wa daladala kwa ajili ya kuendesha katika kipindi cha mpito.
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
11 years ago
Mwananchi28 May
Ukarabati wa barabara Dar mbioni kuanza
11 years ago
Habarileo25 May
Wenye daladala Dar wahofia mabasi ya kasi
WAMILIKI wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam wameonesha hofu ya kutupwa nje ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) wakati wakielekea katika mchakato wa kuingia katika ushindani wa zabuni itakayotangazwa kimataifa. Hata hivyo, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi amewataka kujiamini na kujipanga, akisisitiza hakuna kisichowezekana.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Dar imejipangaje usafiri wa mabasi yaendayo kasi?
11 years ago
GPL
MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10