Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR

Mabasi ya mwendokasi yatakayofanya  kazi eneo la Morogoro Road kuanzia Kimara mpaka Kivukoni jijini Dar es Salaam.
Mabasi hayo wakati yanawasili Bandarini jijini Dar. Mkurugenzi mkuu wa wa mradi wa mabasi yaendayo kasi UDA-RT,  Bw. Robert Kisena ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam  amesema mabasi ya mwendokasi yataanza kufanya … ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Mabasi ya mwendo kasi kuanza kazi Januari 10

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akisalimiana na watendaqji mbalimbali wa mradi wa mabasi yaendayo haraka waliofika katika kituo cha Feri cha Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (BRT) leo jijini Dar es Salaam.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akitembelea maeneo mbalimbali ya kituo cha Feri jijini Dar es Salaam leo.    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akipanda basi la mwendo wa haraka mara baada ya kutembelea maeneo mbalimbali katika kituo cha feri leo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Mabasi ya kasi Dar mbioni kuanza kazi

MABASI maalumu kwa ajili ya kutoa huduma chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yameingia nchini tayari kwa kuanza huduma.

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Hawa Ghasia azindua mafunzo ya madereva wa mabasi ya mwendo kasi Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mafunzo ya madereva wa mabasi yaendayo haraka uliofanyika  Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo Dar es Salaam jana asubuhi. Kulia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akijaribu kuendesha moja ya...

 

9 years ago

GPL

MABASI YA MWENDO WA HARAKA JIJINI DAR YAZINDULIWA RASMI

...Akikata utepe kama ishara ya uzinduzi huo.  ...Akiwa tayari amepanda gari la mwendo wa haraka baada ya uzinduzi. Mgeni rasmi, Hawa Ghasia, akizungumza jambo.…

 

9 years ago

Mtanzania

Nauli mabasi ya mwendo kasi Sh1,200

mwendo kasiNA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

KAMPUNI ya UDA-RT imependekeza nauli kubwa itakayotozwa na mabasi ya mwendo kasi, ambayo imezua malalamiko Mapendekezo hayo yanaonesha kuwa nauli itakuwa Sh 1,200 kwa safari za njia kuu, Sh 700 njia za pembeni na Sh 1,400 njia kuu pamoja na njia ya pembeni, huku wanafunzi wakitakiwa kulipa nusu nauli ya mtu mzima.

Hata hivyo nauli hizo zimepingwa na kwamba mjadala mkali unatarajiwa kuibuka leo, wakati Mamlaka ya Udhibiti,Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...

 

11 years ago

GPL

MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR

Mmoja ya basi la mwendo kasi likikatiza mtaa wa Lumumba ikiwa sehemu ya majaribio ya mabasi hayo ambayo yanaaminika yataondoa kabisa tatizo la usafiri katika jiji la Dar es Salaam.

 

9 years ago

MillardAyo

Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio)

Baada ya siku chache kupita tangia Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kutembelee vituo vya mabasi ya mwendo kasi Dar na kuamuru mabasi hayo kuanza kazi kabla ya Jan 10 2016, leo kaibukana hili lingine. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu […]

The post Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

Dk Massaburi afurahia kuanza kwa huduma ya mabasi ya DART jijini Dar es salaam

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, Mkuu wa Mkowa wa Dar es salaam, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi na viongozi wa UDART wakikagua mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi akifurahia kutimia kwa ndoto ya kuanza kwa mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva   Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani