MABASI YA MWENDO WA HARAKA JIJINI DAR YAZINDULIWA RASMI
...Akikata utepe kama ishara ya uzinduzi huo.  ...Akiwa tayari amepanda gari la mwendo wa haraka baada ya uzinduzi. Mgeni rasmi, Hawa Ghasia, akizungumza jambo.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL
MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Mabasi yaendayo haraka kuanza kujaribiwa leo Agosti 17 jijini Dar kwa vituo 10
Mabasi mawili yaliyoletwa nchini kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kama yanavyoonekana ambapo leo yanatarajia kuanza kwa safari ya majaribio katika baadhi ya vituo ikianzia Kimara mwisho hadi Posta. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanatarajia kuonja usafiri huo ambao ni majaribio huku wahusika wakieleza kuwa watakuwa na muda muafaka wa kutoa elimu kwa watumiaji wa usafiri huo mpaka hapo watakapouzoea.
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Asubuhi ya leo mabasi yaendayo...
11 years ago
Michuzi.jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
.jpg)
11 years ago
Michuzi
updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam





10 years ago
Michuzi
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Paisha yazinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Mgeni rasmi ambae pia ni rais wa Makampuni ya Convivium Africa Investment, Ndg Alfonso ippolito akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa hapo jana katika hoteli ya Serena.Paisha ni platform ya matangazo ambayo inapatikana kupitia simu za mkononi yaani smartphone na kupitia tovuti ambapo watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia google play and playstore bure kabisa.
Meneja bidhaa wa Paisha, Godfrey Fataki akizungumzia jinsi...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
FINCA Microfinance Bank yazinduliwa rasmi jijini Dar leo
Hapa uzinduzi rasmi wa Finca Microfinance Bank ukifanyika leo jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa benki hiyo. Kushoto ni Zulpha Semboja na Kulia ni Rahmathi Damac warembo wa benki hiyo waliokuwa wakitoa huduma wakati wa uzinduzi huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Benki hiyo, Ed Greenwood (katikati), akiwa meza kuu na viongozi wengine. Kutoka kulia ni Meneja Rasilimali Watu (HRM), Mary...
10 years ago
VijimamboPAISHA YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM HAPO JANA
11 years ago
Michuzi
MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR.

