Mabasi ya mwendo kasi kuanza kazi Januari 10
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akisalimiana na watendaqji mbalimbali wa mradi wa mabasi yaendayo haraka waliofika katika kituo cha Feri cha Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (BRT) leo jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akitembelea maeneo mbalimbali ya kituo cha Feri jijini Dar es Salaam leo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akipanda basi la mwendo wa haraka mara baada ya kutembelea maeneo mbalimbali katika kituo cha feri leo jijini Dar es Salaam.
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wESTIsj1T0bUK1ADrw6tZuukQjmfXnpiiwEigshbEgykrEjXRAAfYSTqh4itLMmgGWuycFzhS66ntvxBATP0re1M/unnamed283329.jpg)
MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mabasi ya kasi Dar mbioni kuanza kazi
MABASI maalumu kwa ajili ya kutoa huduma chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yameingia nchini tayari kwa kuanza huduma.
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Nauli mabasi ya mwendo kasi Sh1,200
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
KAMPUNI ya UDA-RT imependekeza nauli kubwa itakayotozwa na mabasi ya mwendo kasi, ambayo imezua malalamiko Mapendekezo hayo yanaonesha kuwa nauli itakuwa Sh 1,200 kwa safari za njia kuu, Sh 700 njia za pembeni na Sh 1,400 njia kuu pamoja na njia ya pembeni, huku wanafunzi wakitakiwa kulipa nusu nauli ya mtu mzima.
Hata hivyo nauli hizo zimepingwa na kwamba mjadala mkali unatarajiwa kuibuka leo, wakati Mamlaka ya Udhibiti,Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Waziri Hawa Ghasia azindua mafunzo ya madereva wa mabasi ya mwendo kasi Dar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mafunzo ya madereva wa mabasi yaendayo haraka uliofanyika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo Dar es Salaam jana asubuhi. Kulia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akijaribu kuendesha moja ya...
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio)
Baada ya siku chache kupita tangia Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kutembelee vituo vya mabasi ya mwendo kasi Dar na kuamuru mabasi hayo kuanza kazi kabla ya Jan 10 2016, leo kaibukana hili lingine. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu […]
The post Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio) appeared first on...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLCpxRBQ5XE/VnVFu7HMa_I/AAAAAAAINYo/vgUXJFmOqOQ/s72-c/IMG_8767.jpg)
MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (DART) KUANZA JANUARI 10, 2016.
Pia Majaliwa amewaagiza watendaji wizara ya Tamisemi ambao ni wamiliki wa mradi huo kusimamia vyema ili uanze kufanya kazi kama ilivyo pangwa kwa kuwa mabasi 120 yalishawasili jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu ameanza kwa kukagua vituo vya mradi huo kuanzia cha Feri, Jangwani,...
10 years ago
Habarileo27 Apr
Mkataba wasainiwa mabasi ya kasi kuanza
MIEZI imeanza kuhesabika kabla ya huduma ya usafiri kupitia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kuanza, baada ya mkataba kusainiwa kati ya serikali na wamiliki wa daladala kwa ajili ya kuendesha katika kipindi cha mpito.
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
“Hapa Kazi tu’ Sasa Elimu bure kuanza Januari 2016, Mikopo vyuo vikuu kimeeleweka, safari za nje za vigogo stop
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa...