Nauli mabasi ya mwendo kasi Sh1,200
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
KAMPUNI ya UDA-RT imependekeza nauli kubwa itakayotozwa na mabasi ya mwendo kasi, ambayo imezua malalamiko Mapendekezo hayo yanaonesha kuwa nauli itakuwa Sh 1,200 kwa safari za njia kuu, Sh 700 njia za pembeni na Sh 1,400 njia kuu pamoja na njia ya pembeni, huku wanafunzi wakitakiwa kulipa nusu nauli ya mtu mzima.
Hata hivyo nauli hizo zimepingwa na kwamba mjadala mkali unatarajiwa kuibuka leo, wakati Mamlaka ya Udhibiti,Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Mabasi ya mwendo kasi kuanza kazi Januari 10
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLCpxRBQ5XE/VnVFu7HMa_I/AAAAAAAINYo/vgUXJFmOqOQ/s640/IMG_8767.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SIE4ue5eUFQ/VnVFu8PikCI/AAAAAAAINYs/Qfsf8nBiy68/s640/IMG_8768.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WAOM7CDKEtY/VnVFwTpnn4I/AAAAAAAINZA/6vI3CL78pWg/s640/IMG_8812.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PYvYb8pDJGw/VnVFv0v8ttI/AAAAAAAINY8/qdhI7fq7Oiw/s640/IMG_8805.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LbZj4d5jXxc/VnVFu3lQHPI/AAAAAAAINYk/Cdo0M0DRgDc/s640/IMG_8794.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bq4YyQ5xxyg/VnVFwsDKMxI/AAAAAAAINZE/RCb5R_3AaZg/s640/IMG_8821.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BZ4C4kNtkPw/VnVFxPOtlpI/AAAAAAAINZM/kSVuMrLbQ8I/s640/IMG_8822.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Jan
Wadau kujadili nauli mabasi yaendayo kasi
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) wiki ijayo inakutana na wadau kujadili nauli zitakazotumika kwa mabasi yaendayo kasi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wESTIsj1T0bUK1ADrw6tZuukQjmfXnpiiwEigshbEgykrEjXRAAfYSTqh4itLMmgGWuycFzhS66ntvxBATP0re1M/unnamed283329.jpg)
MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Waziri Hawa Ghasia azindua mafunzo ya madereva wa mabasi ya mwendo kasi Dar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mafunzo ya madereva wa mabasi yaendayo haraka uliofanyika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo Dar es Salaam jana asubuhi. Kulia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akijaribu kuendesha moja ya...
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio)
Baada ya siku chache kupita tangia Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kutembelee vituo vya mabasi ya mwendo kasi Dar na kuamuru mabasi hayo kuanza kazi kabla ya Jan 10 2016, leo kaibukana hili lingine. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu […]
The post Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio) appeared first on...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ASEMA SERIKALI HAIJARIDHIA VIWANGO VIPYA VYA NAULI YA MABASI YAENDAYO KASI.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Ngege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Geoge Simbachawene. na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es slaam Meck Sadiki.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Nauli za mabasi mikoani zashuka
10 years ago
VijimamboSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10