Dar imejipangaje usafiri wa mabasi yaendayo kasi?
Serikali juzi ilizindua rasmi mafunzo maalumu ya madereva wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (BRT), ambao unatekelezwa jijini Dar es Salaam. Uzinduzi wa mafunzo hayo ni hatua ya mwisho ya kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huo wa barabara yenye urefu wa kilomita 20.9 kutoka Kimara hadi Kivukoni
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM05 Jun
TANZANIA YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI KATIKA USAFIRI WA MABASI YAENDAYO KASI - PINDA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi za kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuingia kwenye ubia na sekta binafsi katika mradi mkubwa wa usafirishaji abiria.
\Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Juni 3, 2014) wakati akifungua Mkutano wa Majadiliano yenye lengo la kuutangaza mradi wa mabasi yaendayo kasi kwenye ukumbi wa Mlimani City. Mkutano huo wa siku mbili, utamalizika kesho (Jumatano, Juni 4, 2014).
Waziri Mkuu amesema kutèkelezwa kwa mradi huo kutatoa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D50k8OojlzU/U44C4jRDCUI/AAAAAAAFnbk/Us-gY8PFcH8/s72-c/unnamed+(73).jpg)
TANZANIA YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI KATIKA USAFIRI WA MABASI YAENDAYO KASI - PINDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d1eE7lQ1U**2JDN5DZZ5MVAMLC0FBRqlRqARJRZnB1Pn9FykSLmeQ27aBmxL6aIsdpqB3Of9DBKxRWSiU8C*WY6/2.jpg)
MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR
10 years ago
GPLDALADALA, UDA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MABASI YAENDAYO KASI DAR
11 years ago
Michuzi07 Mar
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9AyMq3D_LQ0/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
9 years ago
Habarileo03 Jan
Wadau kujadili nauli mabasi yaendayo kasi
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) wiki ijayo inakutana na wadau kujadili nauli zitakazotumika kwa mabasi yaendayo kasi.