Wenye daladala Dar wahofia mabasi ya kasi
WAMILIKI wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam wameonesha hofu ya kutupwa nje ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) wakati wakielekea katika mchakato wa kuingia katika ushindani wa zabuni itakayotangazwa kimataifa. Hata hivyo, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi amewataka kujiamini na kujipanga, akisisitiza hakuna kisichowezekana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Mabasi ya kasi yawatisha wenye daladala
WAMILIKI wa daladala Mkoa wa Dar es Salaam (Darcoboa), wamesema mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART), unalenga kuwaondoa katika biashara ya usafirishaji abiria. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es...
10 years ago
GPLDALADALA, UDA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MABASI YAENDAYO KASI DAR
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR
10 years ago
GPLMGOMO DALADALA, MABASI WAZIDI KUTIKISA DAR, MABOMU YA MACHOZI YALINDIMA!
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mabasi ya kasi Dar mbioni kuanza kazi
MABASI maalumu kwa ajili ya kutoa huduma chini ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yameingia nchini tayari kwa kuanza huduma.
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Dar imejipangaje usafiri wa mabasi yaendayo kasi?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d1eE7lQ1U**2JDN5DZZ5MVAMLC0FBRqlRqARJRZnB1Pn9FykSLmeQ27aBmxL6aIsdpqB3Of9DBKxRWSiU8C*WY6/2.jpg)
MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wESTIsj1T0bUK1ADrw6tZuukQjmfXnpiiwEigshbEgykrEjXRAAfYSTqh4itLMmgGWuycFzhS66ntvxBATP0re1M/unnamed283329.jpg)
MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR