WANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
Wananchi, Wafanyabiashara, Wanasiasa na Wanafunzi wa Jiji la Mbeya waitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli kufanya Usafi katika Maeneo Mbalimbali ya Jiji la Mbeya kama waonekanavyo hapo na zifuatazo hapo chini ni Taswira Mbalimbali za Jinsi hali ya Mambo ilivyo kuwa katika baadhi ya Maeneo ya Jiji la Mbeya.
Mitaa Mbalimbali ya Jiji la Mbeya imepokea vyema wito wa Rais wa Awamu ya Tano juu ya agizo la kufanya Usafi Nchi nzima kwa siku hii ya leoBOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qtwox7lrZtc/VmfqbR8rmXI/AAAAAAAILNo/uhfTqOfyGj4/s72-c/IMG_7109.jpg)
WANAFUNZI WA CHUO CHA KODI JIJINI DAR WATIMIZA WAJIBU KUFANYA USAFI KATIKA CHUO CHAO
CHUO cha Kodi cha Mwenge jijini Dar es Salam wameitikia wito wa kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Joseph Magufuli kufanya usafi katika mazingira ya Chuo hicho.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Kodi, Edward Mwakimonga amewasihi wanafunzi pamoja na wananchi kwa ujumla kuwa usafi ni afya na ikiwezekana iwe ni kawaida kufanya usafi kila baada ya wiki mara moja ili kuweka mazingira safi.
Nae Waziri Mkuu wa serikali ya chuo cha Kodi, Jeremia Shushu amewashukuru wanafunzi pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Uchaguzi Serikali za Mitaa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--5jufqTIbGQ/VI2G5XNl6vI/AAAAAAAG3J0/ntNMvRn3nq4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
9 years ago
MichuziWANANCHI WA JIJI LA MBEYA WASHEREHEKEA KWA KUPIGA VIDEBE MKESHA WA MWAKA MPYA....
9 years ago
MichuziJIJI LA MBEYA LAJIPANGA KUKUSANYA KODI KATIKA MRADI WA SOKO JIPYA LA MWANJELWA
Na EmanuelMadafa, MbeyaHALMASHAURI ya Jiji la Mbeya, imesema imejipanga vyema katika kuhakikisha mradi mkubwa wa soko jipya la mwanjelwa unasimamiwa kikamilifu kwa kufuata taratibu za serikali sanjali na mikataba iliyoingia na benki ya CRDB kwa kipindi cha miaka 15.
Mradi huo wa soko la kimataifa la Mwanjelwa lililopo jijini Mbeya ujenzi wake imefikia asilimia 99 hivyo upo katika hatua za mwisho za kukamilika kwake.
Akizungumza ofisini...
11 years ago
GPLKAMERA YETU IMETEMBELEA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s72-c/picha%2Bno.3.jpg)
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s640/picha%2Bno.3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-95kqMR8lgEU/VmiSOV25w9I/AAAAAAAILR8/X2OMnGTqlAk/s640/Picha%2Bno.%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3RCsCH-4hWY/VmiSOo9GjGI/AAAAAAAILSA/1KldodrMqKw/s640/Picha%2Bno.%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziWAFANYA BIASHARA JIJINI MBEYA WAENDELEA KUJIVUNIA UHODARI WA MAKUFULI YAO KATIKA MGOMO UNAO ENDELEA NCHINI
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi08 Sep
GREEN WASTE PRO ltd WAENDESHA KAMPENI YA WIKI TATU YA KUFANYA USAFI KATIKATI YA JIJI
![DSC_0355](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0355.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd. wadau na wananchi wakijipanga tayari kuanza kampeni ya wiki tatu ya kusafisha maeneo mbalimbali ya katikati ya jiji iliyozinduliwa rasmi na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi ikiwa ni awamu ya kwanza kwa mwaka huu kabla ya kuelekea kwenye kata nyingine mbili zilimo ndani ya manispaa ya Ilala wakishirikiana na wananchi.
Na Mwandishi wetuWILAYA ya Ilala imeanzisha kampeni ya wiki tatu ya usafi katika maeneo yaliyopo katikati...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0355.jpg)
GREEN WASTE PRO LTD WAENDESHA KAMPENI YA WIKI 3 YA KUFANYA USAFI KATIKATI YA JIJI