WANANCHI WA JIJI LA MBEYA WASHEREHEKEA KWA KUPIGA VIDEBE MKESHA WA MWAKA MPYA....
Wananchi wa Jiji la Mbeya washerehekea kwa kupiga Videbe Mkesha wa Mwaka Mpya ikiwa ni kuonyesha Furaha za kuuona Mwaka Mpya na kuamua kukatiza Mitaa Mbalimbali huku wakiimba Nyimbo za Kuukaribisha Mwaka Mpya kama waonekanavyo hapo Juu katika Taswira....
Furaha ikiwa imetawala kwa baadhi ya Wakazi wa Jiji la Mbeya.
Mwaka waanza vibaya pia kwa mwenye Gari hilo Pichani lenye Nambari za Usajli (T 240 BCB) kwa kuparamia Ukuta Eneo la Mwanjelwa Jijini Mbeya,PICHA NA MR.PENGO MBEYA.PICHA ZAIDI BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Polisi Yatahadharisha Wananchi Kuhusu Mkesha wa Mwaka Mpya
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAHADHARI KATIKA MKESHA WA MWAKA MPYA
Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, wananchi hutumia muda huo kwenda katika nyumba za ibada ama kusherekea katika maeneo mbalimbali ya starehe, ambapo uzoefu unaonyesha kuwa baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vinavyohatarisha usalama wa raia mali zao.
Jeshi la Polisi nchini, limejipanga vizuri katika mikoa yote kwa kushirikiana na vyombo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jWOnTjpjCGM/VoUNlgWRzGI/AAAAAAAIPkE/9lKof2DXna8/s72-c/Polis.png)
JESHI LA POLISI LAWATAHADHARISHA WANANCHI KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI JESHI LA POLISI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jWOnTjpjCGM/VoUNlgWRzGI/AAAAAAAIPkE/9lKof2DXna8/s1600/Polis.png)
Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, wananchi hutumia muda huo kwenda katika...
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wazee Bunda washerehekea mwaka mpya kwa usafi
WAZEE wa Kata ya Nyamuswa, wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kupitia umoja wao ujulikanao kwa jina la Umoja wa Wazee wa Maendeleo Kata ya Nyamuswa, juzi walisherehekea mwaka mpya wa 2016 kwa kufanya usafi wa mazingira na kujenga chumba cha maiti katika Kituo cha Afya Ikizu.
9 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA, MADUKA YAFUNGWA KUAJILI YA UCHAGUZI
Hapa ni eneo la Mwanjelwa maharufu kwa Jina la Mtaa wa kongo likiwa Pweke kuajili ya uchaguzi hakuna alie leta Biashara yake hapa siku hii ya leo.
Baadhii ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu9ZUEyP3pFU4RhYAJI8JY0*13Qazt8y6mp0yvM4Zxn6-wxQQokG7LjnYHvHnDUZQvJbyMlg-ysEg8JA4LRYnNJI/mwakampya6.jpg?width=650)
WATOTO WASHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA KWA AINA YAKE DAR LIVE
9 years ago
MichuziMKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA
10 years ago
StarTV30 Dec
Dk. Bilal mgeni rasmi mkesha wa mwaka mpya.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Gharib Bilal anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Mkesha maalum wa mwaka mpya utakaofanyika Desemba 31 Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuliombea Taifa amani na utulivu kwa mwaka ujao wa 2015.
Mkesha huo ulioandaliwa na kamati maalum ya mikesha ya mwaka mpya tayari maandalizi yake yamekamilika ambapo pia utafanyika kwenye mikoa mingine 16 Nchini na wakuu wa mikoa hiyo watakuwa wageni...
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya