Wazee Bunda washerehekea mwaka mpya kwa usafi
WAZEE wa Kata ya Nyamuswa, wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kupitia umoja wao ujulikanao kwa jina la Umoja wa Wazee wa Maendeleo Kata ya Nyamuswa, juzi walisherehekea mwaka mpya wa 2016 kwa kufanya usafi wa mazingira na kujenga chumba cha maiti katika Kituo cha Afya Ikizu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu9ZUEyP3pFU4RhYAJI8JY0*13Qazt8y6mp0yvM4Zxn6-wxQQokG7LjnYHvHnDUZQvJbyMlg-ysEg8JA4LRYnNJI/mwakampya6.jpg?width=650)
WATOTO WASHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA KWA AINA YAKE DAR LIVE
9 years ago
MichuziWANANCHI WA JIJI LA MBEYA WASHEREHEKEA KWA KUPIGA VIDEBE MKESHA WA MWAKA MPYA....
9 years ago
MichuziGEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA KWA KUTOA MSAADA WA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIJIJI CHA FURAHA KILICHOPO MBWENI JIJINI DAR
9 years ago
MichuziRais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UsOT2nBhuYE/VKKch5D0h1I/AAAAAAACVCk/RFQaRDwWcM0/s72-c/IMAM%2BWA%2BMSIKITI%2BMICHEWENI%2B%2B001.jpg)
BALOZI IDDI AWATAKIA KHERI YA MWAKA MPYA WAZEE
![](http://1.bp.blogspot.com/-UsOT2nBhuYE/VKKch5D0h1I/AAAAAAACVCk/RFQaRDwWcM0/s640/IMAM%2BWA%2BMSIKITI%2BMICHEWENI%2B%2B001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MyLgXVeUU2g/VKKch7LKDFI/AAAAAAACVCo/RC1ukY2aT88/s640/KUHANI%2BCHAKE%2BCHAKE%2BJANA%2B002.jpg)
10 years ago
MichuziMFUKO WA PENSHENI WA GEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA KITUO CHA WATOTO YATIMA NA WASIO NA MAKAZI MAALUM (CHAKUWAMA) KILICHOPO SINZA
10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa nchini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini Sheikh Haji Khatib Haji.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alifanya ziara maalum ya kuwakagua baadhi ya wazee katika sehemu mbali mbali ya Kisiwa cha Pemba ili kujua haliu zao pamoja na kuwapa mkono wa pongezi kwa kukamilisha mwaka 2014 na kuwatakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vibarua wa usafi Bunda wagoma
VIBARUA wanaofanya usafi katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, katika Mkoa wa Mara, wamegoma kuendelea na kazi hiyo kutokana na kutokulipwa mshahara wao kwa muda wa miezi miwili.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-jfe2sdAw0C4/VmjZCHojsUI/AAAAAAAAXZ0/JwBH_-B768w/s72-c/2015-12-09%2B09.16.28.jpg)