Vibarua wa usafi Bunda wagoma
VIBARUA wanaofanya usafi katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, katika Mkoa wa Mara, wamegoma kuendelea na kazi hiyo kutokana na kutokulipwa mshahara wao kwa muda wa miezi miwili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Vibarua wa usafi Singida wagoma kushinikiza ujira wa toka Novemba
Na Nathaniel Limu, Singida
VIBARUA wanawake 15 walioajiriwa kufanya kazi ya usafi kwa muda na manispaa ya Singida,wamegoma kuendelea kufanya usafi hadi hapo watakapolipwa ujira/posho yao kuanzia novemba mwaka jana hadi machi 31...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-jfe2sdAw0C4/VmjZCHojsUI/AAAAAAAAXZ0/JwBH_-B768w/s72-c/2015-12-09%2B09.16.28.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wazee Bunda washerehekea mwaka mpya kwa usafi
WAZEE wa Kata ya Nyamuswa, wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kupitia umoja wao ujulikanao kwa jina la Umoja wa Wazee wa Maendeleo Kata ya Nyamuswa, juzi walisherehekea mwaka mpya wa 2016 kwa kufanya usafi wa mazingira na kujenga chumba cha maiti katika Kituo cha Afya Ikizu.
10 years ago
Habarileo26 Nov
Wakerwa wanafunzi kuwa vibarua
WANANCHI katika kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Karukekere, kudaiwa kufanyishwa kazi za vibarua vya kulima na kazi nyingine na walimu wa shule hiyo.
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Saudi Arabia yakataza vibarua juani
9 years ago
Habarileo31 Dec
DC aingilia madai ya vibarua wasambaza umeme
MKUU wa Wilaya ya Arumeru, Wilson Mkambaku ametoa siku 30 kwa kampuni za Angelique International Ltd na East African Electrical Power zinazodaiwa kuwatapeli wafanyakazi wake, kuhakikisha zinalipa Sh milioni 720 wanazodai wafanyakazi hao.
11 years ago
Habarileo24 Mar
Mtumishi wa Mtibwa Sugar mbaroni akiwa na ‘vibarua’ 55
MFANYAKAZI wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa cha mkoani Morogoro, Adam Danford amekamatwa mkoani hapa, akituhumiwa kusafirisha vijana 55 kutoka wilayani Kibondo kwenda kufanya kazi kwenye mashamba ya miwa kiwanda humo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycM1eV-4ZVcbeO0KTmxZj-DxIRrQP9SHaCeQxK5g3AdtbI*E4QKgcyT-4Mn8JrIoWJHZGGg4PgiaXblhwaNGzX6C/DIAMOND.gif?width=650)
NASIBU ABDUL ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA
10 years ago
Vijimambo25 Nov
NASIBU ABDUL "DIAMOND" ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA
![](http://api.ning.com/files/DbrwTSp7ycP0I*NwDdURSJVLMWPPzXicG760VyP4w32CTQjjua4Og4Wrazq7XpEDW6390Y9jtQBBwFEqG*CQoqJe6R9Y0cMA/diamond.png?width=650)
ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa saa kumi na moja jioni ya Oktoba 2, 1989 katika Hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. Wazazi wake walimpa jina la Nasibu wakiamini ni la bahati.
Diamond aliongea hivi karibuni na safu hii ya Mjue Huyu ambapo aliweka wazi mambo mengi ya maisha yake. Diamond akiwa hajapata ufahamu, yaani bado mdogo, wazazi wake walitengana kwa sababu ambazo bado hazijawa wazi na baba yake kumuacha na...