Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakerwa wanafunzi kuwa vibarua

WANANCHI katika kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Karukekere, kudaiwa kufanyishwa kazi za vibarua vya kulima na kazi nyingine na walimu wa shule hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Vibarua wa usafi Bunda wagoma

Sehemu ya mji mdogo wa Bunda, mkoani Mara.VIBARUA wanaofanya usafi katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, katika Mkoa wa Mara, wamegoma kuendelea na kazi hiyo kutokana na kutokulipwa mshahara wao kwa muda wa miezi miwili.

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WALIOCHUKULIWA NA KUWA WAFANYAKAZI WA NDANI WARUDISHWA ITISO


AFISA Tarafa wa Itiso  Remidius Emmanuel  ameendelea na  oparesheni  ya kuwafikia wazazi na walezi  wote kwa kupita nyumba kwa nyumba na kuwabaini wale wote ambao hadi sasa wameshindwa kuwapeleka watoto wao kuripoti na kuanza masomo ya kidato cha kwanza tangu kufunguliwa kwa shule hizo tarehe 06.01.2020.
Kiongozi huyo amesema  juhudi hizo ni sehemu ya maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Vumilia  Nyamoga katika kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha...

 

9 years ago

Michuzi

Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Halmashauri ya Kibaha Vijijini Doris Semkiwa ambaye anamwakilisha Afisa Elimu wa Halmashauri ya Kibaha Vijijini akitoa mada kwa Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani Kibaha Vijijini mkoani Pwani.Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji...

 

11 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yakataza vibarua juani

Saudi Arabia yabadilisha sheria kukataza vibarua kufanya kazi katika jua kali

 

9 years ago

Habarileo

DC aingilia madai ya vibarua wasambaza umeme

MKUU wa Wilaya ya Arumeru, Wilson Mkambaku ametoa siku 30 kwa kampuni za Angelique International Ltd na East African Electrical Power zinazodaiwa kuwatapeli wafanyakazi wake, kuhakikisha zinalipa Sh milioni 720 wanazodai wafanyakazi hao.

 

11 years ago

Habarileo

Mtumishi wa Mtibwa Sugar mbaroni akiwa na ‘vibarua’ 55

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kibondo, ambaye ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Venance MwamotoMFANYAKAZI wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa cha mkoani Morogoro, Adam Danford amekamatwa mkoani hapa, akituhumiwa kusafirisha vijana 55 kutoka wilayani Kibondo kwenda kufanya kazi kwenye mashamba ya miwa kiwanda humo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi wa sekondari ya wasichana Makete watakiwa kuwa mfano bora kielimu na kitabia

unnamed (1)

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani).

unnamed

Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro.

unnamed (2)

Maktaba ya shule hiyo.

unnamed (3)

unnamed (4)

Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.

unnamed (5)

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (wa tatu kushoto) akiwa na walimu wa shule hiyo, wa kwanza kulia ni Afisa Taaluma sekondari wilaya hiyo.(Picha zote na Edwin...

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SEKONDARI YA WASICHANA MAKETE WATAKIWA KUWA MFANO BORA KIELIMU NA KITABIA‏

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani) Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro Maktaba ya shule…

 

10 years ago

GPL

NASIBU ABDUL ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA

Na Mwandishi Wetu ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa saa kumi na moja jioni ya Oktoba 2, 1989 katika Hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. Wazazi wake walimpa jina la Nasibu wakiamini ni la bahati. Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. Diamond aliongea hivi karibuni na safu hii ya Mjue Huyu ambapo aliweka wazi mambo mengi ya maisha yake....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani