Wakerwa wanafunzi kuwa vibarua
WANANCHI katika kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Karukekere, kudaiwa kufanyishwa kazi za vibarua vya kulima na kazi nyingine na walimu wa shule hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vibarua wa usafi Bunda wagoma
VIBARUA wanaofanya usafi katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Bunda, katika Mkoa wa Mara, wamegoma kuendelea na kazi hiyo kutokana na kutokulipwa mshahara wao kwa muda wa miezi miwili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-34gkG2bvZgQ/Xk5NMbRtsGI/AAAAAAAC77Q/8fAt00BJRFcQGlJ5JR02lcLJ9yT3U55ugCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200220-WA0011.jpg)
WANAFUNZI WALIOCHUKULIWA NA KUWA WAFANYAKAZI WA NDANI WARUDISHWA ITISO
AFISA Tarafa wa Itiso Remidius Emmanuel ameendelea na oparesheni ya kuwafikia wazazi na walezi wote kwa kupita nyumba kwa nyumba na kuwabaini wale wote ambao hadi sasa wameshindwa kuwapeleka watoto wao kuripoti na kuanza masomo ya kidato cha kwanza tangu kufunguliwa kwa shule hizo tarehe 06.01.2020.
Kiongozi huyo amesema juhudi hizo ni sehemu ya maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Vumilia Nyamoga katika kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s72-c/01.jpg)
Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHIrtOMzwfA/Vnjrc55awAI/AAAAAAAINyo/b8I3lVdF8aI/s640/04.jpg)
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Saudi Arabia yakataza vibarua juani
9 years ago
Habarileo31 Dec
DC aingilia madai ya vibarua wasambaza umeme
MKUU wa Wilaya ya Arumeru, Wilson Mkambaku ametoa siku 30 kwa kampuni za Angelique International Ltd na East African Electrical Power zinazodaiwa kuwatapeli wafanyakazi wake, kuhakikisha zinalipa Sh milioni 720 wanazodai wafanyakazi hao.
11 years ago
Habarileo24 Mar
Mtumishi wa Mtibwa Sugar mbaroni akiwa na ‘vibarua’ 55
MFANYAKAZI wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa cha mkoani Morogoro, Adam Danford amekamatwa mkoani hapa, akituhumiwa kusafirisha vijana 55 kutoka wilayani Kibondo kwenda kufanya kazi kwenye mashamba ya miwa kiwanda humo.
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wanafunzi wa sekondari ya wasichana Makete watakiwa kuwa mfano bora kielimu na kitabia
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani).
Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro.
Maktaba ya shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (wa tatu kushoto) akiwa na walimu wa shule hiyo, wa kwanza kulia ni Afisa Taaluma sekondari wilaya hiyo.(Picha zote na Edwin...
11 years ago
GPLWANAFUNZI WA SEKONDARI YA WASICHANA MAKETE WATAKIWA KUWA MFANO BORA KIELIMU NA KITABIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycM1eV-4ZVcbeO0KTmxZj-DxIRrQP9SHaCeQxK5g3AdtbI*E4QKgcyT-4Mn8JrIoWJHZGGg4PgiaXblhwaNGzX6C/DIAMOND.gif?width=650)
NASIBU ABDUL ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA