Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s72-c/01.jpg)
Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Halmashauri ya Kibaha Vijijini Doris Semkiwa ambaye anamwakilisha Afisa Elimu wa Halmashauri ya Kibaha Vijijini akitoa mada kwa Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani Kibaha Vijijini mkoani Pwani.
Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfmtHWS-3XI/XlDqY5WiPII/AAAAAAALey8/NA4SZZGkgrM_aGdVDS3iyiAul9e_OJSiQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-39-1024x768.jpg)
WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfmtHWS-3XI/XlDqY5WiPII/AAAAAAALey8/NA4SZZGkgrM_aGdVDS3iyiAul9e_OJSiQCLcBGAsYHQ/s640/2-39-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-38-1024x768.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-30-1024x768.jpg)
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Naibu Katibu Mkuu Samataba awaasa walimu kuwa wazalendo
Washiriki wa mafunzo ya ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani kibaha Vijijini mkoani Pwani.
Walimu nchini wametakiwa kuwa wazalendo kwa kuhakikisha wanawafundisha watoto katika muda wa ziada ili kuwaongezea uwezo wa ufaulu katika mitihani yao.
Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
5 years ago
MichuziJUKWAA LA WALIMU WAZALENDO TANZANIA WAFURAHISHWA NA KASI YA UKUAJI WA MAENDELEO NCHINI CHINI YA RAIS DK.MAGUFULI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s72-c/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
VIJANA NCHINI WATAKIWA KUWA WAZALENDO, KUHAMASISHA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s640/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu (Tahliso) katika mkutano wa pamoja jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SUXCsj5qhmc/XoMMxoLE7WI/AAAAAAALlqE/iG23k_Ig_FcxsiQhARsdIk6e9ix1gyAggCLcBGAsYHQ/s640/6945cc39-e4db-4b76-a28f-24c94f181f48.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akiwa katika picha ya pamoja na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini (Tahliso).
Charles James, Globu ya Jamii
VIJANA nchini wametakiwa kuwa wabunifu katika kufikia ndoto zao na siyo kukaa vijiweni wakilalamikia ugumu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s72-c/unnamed+(13).jpg)
WALIMU WAASWA KUTOTUMIA VIROBA WAKATI WA KUFUNDISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cHnwGFglTs/U3i45xrRChI/AAAAAAAFjik/ZaofG3gB-Wc/s1600/unnamed+(14).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
OFISA Elimu Mkoa wa Pwani Yusufu Kipengele amewataka walimu mkoani humo kuachana na tabia ya kutumia vilevi waingiapo madarasani kufundisha kwani hali hiyo inachangia kushuka kwa kiwango...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Wanafunzi waaswa kujali nidhamu
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Wanafunzi waaswa kusoma sayansi
Na Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WAASWA KWENDA SAMBAMBA NA TEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s640/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jOOhqeh8mpM/ViSWws3XtzI/AAAAAAAIA0U/sVB0MzdRvO8/s640/002.jpg)