Wanafunzi waaswa kusoma sayansi
Na Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Mar
Kinana awashauri wanafunzi kusoma masomo ya sayansi
WANAFUNZI nchini wameshauriwa kusoma masomo ya sayansi ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kuajiriwa na taasisi za ndani na nje ya nchi kwa urahisi.
11 years ago
Dewji Blog03 May
Dkt. Kone awahimiza Wanafunzi kusoma masomo ya Sayansi
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani (mei mosi),yaliyofanyika kimkoa katika uwanja wa namfua mjini Singida (01/5/2014).Maadhimisho ya mwaka huu kwa mkoa wa Singida yalihudhuriwa na watumishi wa umma na wananchi wachache ukilinganisha na miaka iliyopita.Kushoto ni mratibu wa RAAWU mkoa wa Singida na mwenyekiti wa kilele cha maadhimisho ya sherehe ya siku kuu ya wafanyakazi duniani (Mei mosi mwaka huu).
Na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2qskgZkOg0I/VKvjVeeSrqI/AAAAAAAG7tM/Iu8Y4_sIqE4/s72-c/DSC_0542.jpg)
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wapata udhamini wa kusoma nchini Ireland
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wameitaka serikali kuwekeza katika masomo ya sayansi ili nchi kuweza kupata watalaam ambao watasaidia kutatua changamoto katika jamii.
Hayo waliyasema leo wanafunzi wa Sayansi Chimbukizi walioshinda mashindano ya utafiti kwa kutumia malighafi asili ya kutengeneza dawa ya kuua Nzi na Mbuu ambao wamepewa udhamini na Mfuko wa Karimjee Jivanjee (KJF)wa kwenda kusoma nchini Ireland.
Wanafunzi hao ni Dharia Amour Ali na Salma...
5 years ago
MichuziCHUO KIKUU MZUMBE WASHEREKEA SIKU YA WANAWAKE NA WANAFUNZI, WASICHANA WAASWA KUSOMA MASOMO YANAYO TUMIA RASILIMALI ZAIDI
CHUO kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam wamesheherekea siku ya Mwanamke Dunia kwa Kuzungumza yapasayo mtoto wa kike na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Hananasif jijini Dar es Salaam leo.
Wanafunzi hao wameaswa kusoma masomo ambayo hayatumii watu wengi na kusoma masomo ambayo yanatumia rasilimali ili iwe rahisi kuajiliwa na kujiajili wenyewe.
Hayo ameyasema Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, Dkt. Godberther Kinyondo jijini Dar es Salaam leo wakati wa...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
LIlian: Sikuwasikiliza wazazi waliponizuia kusoma sayansi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OHAKMBsNHQw/VHiDOC-veSI/AAAAAAAAoOA/QqUlJOGbHss/s72-c/blog%2B1.jpg)
WASICHANA WAHAMASISHWA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI NA UFUNDI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OHAKMBsNHQw/VHiDOC-veSI/AAAAAAAAoOA/QqUlJOGbHss/s1600/blog%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pRvcNTqCzC0/VHiDYW2Nz6I/AAAAAAAAoOo/4flWZASOftk/s1600/female.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Mar
Tunu Pinda na rai ya watoto wa kike kusoma sayansi
MKE wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Tunu Pinda, ametoa rai kwa watoto wa kike nchini kuthubutu kusoma masomo ya sayansi kwa sababu wanaweza.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanafunzi 9,000 Karagwe hawajui kusoma
ZAIDI ya wanafunzi 9,000 wilayani Karagwe hawajui kusoma, kuandika na kuhesabu. Hali hiyo imebainika kutokana na utafiti uliofanywa na halmashauri ya wilaya hiyo mwaka jana. Ofisa Elimu Shule za Msingi,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...