Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?

Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwasaidie watoto wetu kusoma kwa malengo

Kwa kawaida elimu hasa inayotolewa kwa ubora unaostahiki huwafanya wanaonufaika nao kuwa wachapakazi, wastaarabu, watetezi wa demokrasia na wapinga maovu kama vile kutoa na kupokea rushwa.

 

11 years ago

Michuzi

OEF yaendelea na mpango wa kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa njia ya elektroniki

Mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Tusiime, Naomi Shija akifurahia kompyuta ya kiganjani (tablets), aliyokabidhiwa na Mwanzilishi wa Opportunity Education Foundatio (OEF), ya Marekani, Joe Rickehs, katika uzinduzi wa mpango wa kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa njia ya elektroniki shuleni hapo, ambapo OEF imeipatia shule hiyo kompyuta hizo 100. Nyuma wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Tusiime, Albert Katagira na walimu wa shule hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uwezo wa vyuo vikuu kuchukua wanafunzi wa sayansi bado changamoto kwa Tanzania kutimiza malengo ya EFA

DSC_0341

Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi nchini Tanzania  Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa akifungua mkutano wa kimataifa wa kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa  malengo ya Mpango wa Kimataifa wa Elimu kwa Wote-EFA uliofanyika jijini Dar Es Salaam ambapo amesema tangu mwaka 2000 Tanzania imepiga hatua kubwa  katika kuelekea kutimiza malengo ya Mpango huo ikiwa ni utashi wa kisiasa na kuwajibika vikisaidiwa na kujitolea kwa wadau wa sekta ya elimu pamoja na washirika wa maendeleo.(Picha...

 

10 years ago

GPL

UWEZO WA VYUO VIKUU KUCHUKUA WANAFUNZI WA SAYANSI BADO CHANGAMOTO KWA TANZANIA KUTIMIZA MALENGO YA EFA‏

Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi nchini Tanzania Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa akifungua mkutano wa kimataifa wa kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa malengo ya Mpango wa Kimataifa wa Elimu kwa Wote-EFA uliofanyika jijini Dar Es Salaam ambapo amesema tangu mwaka 2000 Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuelekea kutimiza malengo ya Mpango huo ikiwa ni utashi wa kisiasa na kuwajibika vikisaidiwa na kujitolea kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi waaswa kusoma sayansi

kinanaNa Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi 9,000 Karagwe hawajui kusoma

ZAIDI ya wanafunzi 9,000 wilayani Karagwe hawajui kusoma, kuandika na kuhesabu. Hali hiyo imebainika kutokana na utafiti uliofanywa na halmashauri ya wilaya hiyo mwaka jana. Ofisa Elimu Shule za Msingi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 430 hawajui kusoma wala kuandika

>Imebainika kuwa wanafunzi 427, hawajui kusoma, kuhesabu wala kuandika katika shule mbili za msingi wilayani Rorya, mkoani Mara.

 

11 years ago

Mwananchi

Matatizo ya wanafunzi si lugha mbili, ni kutotaka kusoma

Makala haya yanaangazia mjadala kuhusu lugha inayofaa kutumika Tanzania katika kuendeleza sekta zote ikiwamo elimu, biashara, utaalamu na utamaduni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani