Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuwasaidie watoto wetu kusoma kwa malengo

Kwa kawaida elimu hasa inayotolewa kwa ubora unaostahiki huwafanya wanaonufaika nao kuwa wachapakazi, wastaarabu, watetezi wa demokrasia na wapinga maovu kama vile kutoa na kupokea rushwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?

Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?

Amani iwe juu yenu enyi wapendwa wasomaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa mkiyafanyia kazi yale yote ninayowaletea katika safu hii.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?

>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar

photo1

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye  Viwanda  na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo.

photo2

Meneja wa...

 

11 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo. Meneja wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?

Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?

WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zantel yakabidhi kisima kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania

1

Mkuu wa Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Evans Tegete akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhiwa kisima kwa ajili ya kituo chake kutoka kwa kampuni ya Zantel. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose.

2

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda akizungumza wakati wa kukabidhi kisima kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Zantel, Pratap Ghose.

3

Mkuu wa Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani