UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?
>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?
Amani iwe juu yenu enyi wapendwa wasomaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa mkiyafanyia kazi yale yote ninayowaletea katika safu hii.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?
Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.
10 years ago
Mwananchi17 Feb
UCHAMBUZI: Kwa nini tusimangwe tusiojua Kiingereza?
>Ona kioja cha nchi hii; mwalimu wa Kiswahili anafanyiwa usaili kwa lugha ya Kiingereza ili apate kazi. Dereva mzoefu na fundi hodari wa magari anakosa kazi katika mashirika ya umma au yale binafsi kwa sababu hajui Kiingereza.
10 years ago
GPL
R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA
MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika mazingira yasiyotarajiwa, Ijumaa linakupa hatua kwa hatua.Kumbukumbu za haraka zinabainisha kuwa, tangu mwaka 2011 mpaka 2014, wasanii wenye majina makubwa na madogo wasiopungua 32 wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali. Recho Haule enzi za uhai wake. Inauma sana! Katika kipindi cha miaka mitatu kuwapoteza wasanii kwa kiasi hicho...
11 years ago
GPL
KWA NINI WENGI HAWAFANIKIWI KWA BIASHARA YA DUKA?
Wengi wamekuwa na ndoto za kufungua maduka wakiamini yanaweza kuwa daraja la kuelekea kwenye mafanikio. Siyo mbaya kwani nawajua wengi tu ambao wamefanikiwa kwa kuanzisha vioski, baadaye maduka na sasa ni wafanyabiashara wakubwa. Lakini wakati baadhi wakifanikiwa kwa njia hiyo, wapo ambao wamekuwa wakifungua maduka na baada ya muda kuyafunga huku wakiwa wameambulia hasara. Utakuwa shahidi huko mtaani kwamba, kumekuwa na utitiri...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Kwa nini wengi hulia njaa Januari?
Naye Neema Alfred mkazi wa Mbeya, anasema Januari ina mahitaji makubwa ya kifedha ambayo mengine huchochewa na ndugu kuhitaji misaada ya fedha kufanikisha masuala yao ya kifedha.
10 years ago
GPLKWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?- 8
NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na kazi ya kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo kupitia ujasiriamali. Mada tunayoendelea kuijadili ni sababu zinazofanya watu wengi washindwe kufanikiwa. Wiki iliyopita, niliishia kueleza kwamba watu wengi hawafanikiwi kwa sababu hawawezi kuwa mabahili katika matumizi ya pesa wanazozipata. Niliishia kukupa mfano wa jinsi mimi na dada yangu tulivyokuwa na hulka tofauti za...
11 years ago
GPL
KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?
MPENDWA msomaji wa makala haya, natumaini unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Kama kawaida, leo tunaendelea na shule yetu ya ujasirimali. Kwa pamoja, nataka tuangalie kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika ujasiriamali au katika maisha yao. Kuna sababu nyingi kwa nini wengi hushindwa maishani lakini sababu kuu ya msingi, huwa ni kukosa maarifa na ufahamu wa kufanya biashara au ajira katika kiwango cha juu kadiri...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Oct
Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu — Nani umpigie kura?
The post Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu – Nani umpigie kura? appeared first on Mzalendo.net.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania