Kwa nini wengi hulia njaa Januari?
Naye Neema Alfred mkazi wa Mbeya, anasema Januari ina mahitaji makubwa ya kifedha ambayo mengine huchochewa na ndugu kuhitaji misaada ya fedha kufanikisha masuala yao ya kifedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Jan
WATU HULIA NJAA JANUARI
Mwalimu Julius NyerereMiaka minne kabla ya kifo cha mwasisi huyu wa Taifa, mwanawe Makongoro Nyerere aligombea ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha NCCR- Mageuzi.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Kwa nini kufiwa na mwenza kunamaanisha kuwa na njaa?
Kwa kawaida kifo cha mtu uliyefunga nae pingu za maisha huwa kinasikitisha sana, lakini baadhi ya taratibu za kimila zinazofanyika katika maeneo mbalimbali duniani zinaweza kumfanya mjane kuumia hata zaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA3SyFW2kic*VxMnV3Pu1B2b2sXAlIH0Qzb-YGr0valqsv5x9W0bfpv5*x0cSBr8BbxtwTGvztAfez6W6mVgEBjf/dukanoma.jpg?width=650)
KWA NINI WENGI HAWAFANIKIWI KWA BIASHARA YA DUKA?
Wengi wamekuwa na ndoto za kufungua maduka wakiamini yanaweza kuwa daraja la kuelekea kwenye mafanikio. Siyo mbaya kwani nawajua wengi tu ambao wamefanikiwa kwa kuanzisha vioski, baadaye maduka na sasa ni wafanyabiashara wakubwa. Lakini wakati baadhi wakifanikiwa kwa njia hiyo, wapo ambao wamekuwa wakifungua maduka na baada ya muda kuyafunga huku wakiwa wameambulia hasara. Utakuwa shahidi huko mtaani kwamba, kumekuwa na utitiri...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0SmRS32IjVEtH7V9ZNtDSNOgbkWksobqlVKu-5HSHvq*CafodgkjqjkvmA8L69b297cwbhrJFghkcYpkJrAbqu/frontpageyoungmancopingstress1.jpg)
KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?
MPENDWA msomaji wa makala haya, natumaini unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Kama kawaida, leo tunaendelea na shule yetu ya ujasirimali. Kwa pamoja, nataka tuangalie kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika ujasiriamali au katika maisha yao. Kuna sababu nyingi kwa nini wengi hushindwa maishani lakini sababu kuu ya msingi, huwa ni kukosa maarifa na ufahamu wa kufanya biashara au ajira katika kiwango cha juu kadiri...
10 years ago
GPLKWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?- 8
NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na kazi ya kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo kupitia ujasiriamali. Mada tunayoendelea kuijadili ni sababu zinazofanya watu wengi washindwe kufanikiwa. Wiki iliyopita, niliishia kueleza kwamba watu wengi hawafanikiwi kwa sababu hawawezi kuwa mabahili katika matumizi ya pesa wanazozipata. Niliishia kukupa mfano wa jinsi mimi na dada yangu tulivyokuwa na hulka tofauti za...
10 years ago
Mwananchi18 Jul
UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?
>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMs4*EPdrSGqXnfK96f7-mpHwGvdIQxmfYE5X3lXPm*f6SLBJbeMt90IcXLpq4HeXV70-St5WyqMneMaGph*h*Gr/unhappyyoungcouplesittingonbed.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-5
Natumaini utakuwa u-mzima wa afya kabisa. Kwa wiki kama nne mfululizo tumekuwa tukiangalia juu ya tatizo la wanawake wengi kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia sababu za tatizo hilo na tukaangalia athari zake na wiki iliyopita na kujifunza njia za kutatua tatizo hilo. Kama ilivyo matatizo mengine tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa sana kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzmVi8fXKz-lbponLKOyM2SIJxBLv-ttW6qgKg8cVKHHX4pHx*aylQhYdIJQIiNhygKiBFahD7OP**ZK21kMsNZt/how_to_deal_with_a_bad_break_up1024x685.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4
Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
MBIO ZA UBUNGE MOSHI MJINI,KWA NINI ? KIJANA DAUD MRINDOKO VUTIO LA WENGI !
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania