Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini kufiwa na mwenza kunamaanisha kuwa na njaa?

Kwa kawaida kifo cha mtu uliyefunga nae pingu za maisha huwa kinasikitisha sana, lakini baadhi ya taratibu za kimila zinazofanyika katika maeneo mbalimbali duniani zinaweza kumfanya mjane kuumia hata zaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini wengi hulia njaa Januari?

Naye Neema Alfred mkazi wa Mbeya, anasema Januari ina mahitaji makubwa ya kifedha ambayo mengine huchochewa na ndugu kuhitaji misaada ya fedha kufanikisha masuala yao ya kifedha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima

Lakini je vijana wa siku hizi wanachukuliaje maisha ya kuanza kuwa mtu mzima?

 

10 years ago

Vijimambo

KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?

Kuna watu ambao wanapata mafanikio makubwa kwa kutumia uchawi. Ila mafanikio yale hayaletwi na uchawi bali imani ya mtu husika. 
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...

 

10 years ago

Dewji Blog

URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla

5edcc9e9

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.

Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...

 

10 years ago

Mtanzania

Samia anafaa kuwa mgombea mwenza — Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempigia ‘debe’ Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan, kuwa ni mwanamke shupavu anayeweza kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka  2015.

Akizungumza bungeni mjini Dodoma jana wakati wa kutoa shukrani, Pinda alisema Samia amepewa sifa kubwa kutokana na kazi nzuri aliyofanya ya kuliongoza Bunge hilo kwa uadilifu.

“Makamu mwenyekiti leo umepewa sifa kubwa, nimeambiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Samia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM john Pombe Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan mara baada ya mkutano Mkuu wa CCM kuwachagua kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa Urais utakaofanyika Oktoba,2015 (picha na Freddy Maro).

 

11 years ago

GPL

UNENE NI SHIDA! UNAONEKANA KUWA TISHIO KULIKO NJAA

Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa suala la unene wa kupita kiasi (obesity), limekuwa tatizo kubwa duniani kuliko hata tatizo la njaa. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa mwaka 1950, idadi ya watu waliokuwa wakikabiliwa na njaa duniani ilikuwa milioni 700. Kwa miaka hiyo, watu milioni 100 tu ndiyo walioathiriwa na matatizo ya unene wa kupita kiasi. Yaani watu milioni 700 walikuwa wanasumbuliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani