Kwa nini kufiwa na mwenza kunamaanisha kuwa na njaa?
Kwa kawaida kifo cha mtu uliyefunga nae pingu za maisha huwa kinasikitisha sana, lakini baadhi ya taratibu za kimila zinazofanyika katika maeneo mbalimbali duniani zinaweza kumfanya mjane kuumia hata zaidi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Kwa nini wengi hulia njaa Januari?
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima
9 years ago
GPL02 Oct
10 years ago
Vijimambo08 Oct
KWA NINI WAGANGA WANAWEZA KUWASAIDIA WATU KUWA MATAJIRI WAKATI WAO NI MASIKINI?
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/10/ndumba.jpg)
Tutajadili kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tutaangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu hizi wanazotumia waganga bila ya wewe kuwa mchawi na ukafikia mafanikio makubwa.
Kila mmoja wetu anaelewa kwamba kuna watu wanakwenda kwa waganga na wanasaidiwa kupata utajiri. Japokuwa utajiri huu...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/92KBrfAhanc/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.
Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...
10 years ago
Mtanzania03 Oct
Samia anafaa kuwa mgombea mwenza — Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempigia ‘debe’ Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan, kuwa ni mwanamke shupavu anayeweza kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza bungeni mjini Dodoma jana wakati wa kutoa shukrani, Pinda alisema Samia amepewa sifa kubwa kutokana na kazi nzuri aliyofanya ya kuliongoza Bunge hilo kwa uadilifu.
“Makamu mwenyekiti leo umepewa sifa kubwa, nimeambiwa...
10 years ago
VijimamboSamia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKbv1TlYhsgDjTdJWi6*E9krG44X*gxvCyaPSH4PeA5GH3H5uzvKqpPkVB7K8C58lyA4e9GjMqoH5kCIPfeRi--/nene.jpg?width=650)
UNENE NI SHIDA! UNAONEKANA KUWA TISHIO KULIKO NJAA